Asante mkuu kwa maoni yako/swali lako.
Je umewahi fikiria kwamba wanawake wengi wanatengeneza bikira?
na kwamba wanawake wengi wanawdanganya waume wao kwamba hawajakutana na wanaume kumbe danganya toto?
na kwamba wanaume ni waaminifu zaidi kusema ukweli wa historia ya mapenzi yake kuliko...
Hi vita ya mafisadi nini hasa mwisho wake, wana JF mniambie.
Ninavyoona mimi;
Kila mtu akusudie jema kwa taifa letu, tubadilike kuanzia mtazamo wetu wa utajiri wa harakaharaka na tutafika.
Wana-JF tuwe mfano bora kupinga kila namna ya uovu katika taifa letu. Nawasihi wenye uwezo wa kugombea...
It is becoming a world trend now and many people think that killing a "sinner" will add value to their "future paradise life".
Je wabongo mnaondekeza mambo ya fitina ya dini mnaona hilo, kawaida hakuna anaefaidi. or mara wakristo wamefanya hili, oh mara waislam wamefanya hili. Asiyejua kufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.