kisa_kya_ntwa
Member
- Jul 29, 2009
- 5
- 0
Hi vita ya mafisadi nini hasa mwisho wake, wana JF mniambie.
Ninavyoona mimi;
Kila mtu akusudie jema kwa taifa letu, tubadilike kuanzia mtazamo wetu wa utajiri wa harakaharaka na tutafika.
Wana-JF tuwe mfano bora kupinga kila namna ya uovu katika taifa letu. Nawasihi wenye uwezo wa kugombea nafasi yeyote ile kwenye uchaguzi ujao udiwani, ubunge hata urais(URAHISI) ikiwezekana
Ninavyoona mimi;
Kila mtu akusudie jema kwa taifa letu, tubadilike kuanzia mtazamo wetu wa utajiri wa harakaharaka na tutafika.
Wana-JF tuwe mfano bora kupinga kila namna ya uovu katika taifa letu. Nawasihi wenye uwezo wa kugombea nafasi yeyote ile kwenye uchaguzi ujao udiwani, ubunge hata urais(URAHISI) ikiwezekana