Recent content by Kiruumo

  1. K

    Taarifa ya Zitto Kabwe kuhusu Gazeti la Taifa Imara

    Unapokosa hoja ukarusha matusi ya nguoni Unajidhalilisha. Kama watu wa aina yako ndiyo mnaomuona Zito ni mzalendo, kiongozi wa maana sishangai. Ndiyo walengwa wake nyie. Zito kama anao uwezo aje hapa kama pa kuanzia alafu twende kwenye open debate, TV na Redio, uongo wake tuuthibitishe. Zito ni...
  2. K

    Taarifa ya Zitto Kabwe kuhusu Gazeti la Taifa Imara

    Ni Mungu yupi huyo anayewasaidia watu waongo, wazandiki na wasaliti?
  3. K

    Taarifa ya Zitto Kabwe kuhusu Gazeti la Taifa Imara

    Zito amezoea kuzusha na kutunga uongo msaliti mkubwa huyu. Dhambi aliyoishiriki ya kutaka kuiangusha Serikali kwa kutunga kashfa ya uongo ya Escrow imeanza kumtafuna baadaya ya uongo wake kubainika wazi. Sasa Zito anaweweseka. Ni sawa na wachawi au wezi wakikamatwa huanza kutajana, na hiki...
  4. K

    Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

    Inasikitisha kwamba wote mliochangia mpaka sasa mnazidi kuthibitisha uvivu wenu wa kusoma. Hakuna aliyejenja hoja, ni milio, kelele na kejeli. Hamuwezi kuisaidia nchi kwa namna hii. Ndiyo maana mnadanganywa kwa urahisi na watu walaghai kama Zito, shame!
  5. K

    Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

    Zito siyo tu kwamba analinda mafisadi, yeye anashirikiana na mafisadi wakubwa kuiibia na kuihujumu nchi hii. Ni mtu hatari sana! Lakini anawadanganya watu kiurahisi wanamsifia kwamba ni mzalendo. Zito hana lolote. Anayepinga aje na hoja hapa, baada ya kusoma hizo taarifa tatu CAG, PAC na ile ya...
  6. K

    Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

    1. Watanzania tunadanganyika kwa urahisi sana! Na Zito yote anayoyafanya ni kwa kujua kwamba nchi hii inalo kundi kubwa la watu wanaomuamini kwamba ni mzalendo. Ni kwamba anajua hamsomi sana sana vichwa vya habari za magazeti na mnaamini moja kwa moja bila kufikiria zaidi na kufanya uchambuzi...
  7. K

    Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow

    1. Watanzania tunadanganyika kwa urahisi sana! Na Zito yote anayoyafanya ni kwa kujua kwamba nchi hii inalo kundi kubwa la watu wanaomuamini kwamba ni mzalendo. Ni kwamba anajua hamsomi sana sana vichwa vya habari za magazeti na mnaamini moja kwa moja bila kufikiria zaidi na kufanya uchambuzi...
  8. K

    Paul Kagame: Tanzania's own spy

    1. Watanzania wachache wanaoweza kuyaelewa haya mambo lakini ndiyo tumeambiwa ukweli, tuukubali, tusiukubali, tuupende au tusiupende, ndiyo tumeambiwa ukweli. 2. Kwa kuambiwa huo ukweli ni wakati umewadia, Tanzania lazima ijifunze kuwa nchi zote hutafuta maslahi mapana ya kiuchumi katika...
  9. K

    Wakati tunapiga kelele akamatwe akamatwe nasikia mwenzetu ndio katelemsha hii kitu toka KLM

    Hapo ndiyo uwatambue watanzania walivyo wepesi wa kuaminishwa uzushi/ uongo na umbea na kuusambaza kwa kasi sana bila hata kujiridhisha na taarifa zenyewe. Hili sasa limegeuka kuwa taifa la wambea/ wazushi na waongo.
  10. K

    Ingekuwa kwa nchi kama Uingereza ,Rugemalila angeshafungwa siku nyingi.

    1. Ujumbe wako umesomeka japo kwa mashaka. 2. Nitakujibu kwa uhakika kesho Ndugu yangu Ligera..
  11. K

    Prime Minister Mizengo Pinda, strongly denied allegations of his involvement in the sugar scam

    1. Nimesoma article ya The Citizen hapa mara mbili ili kubaini jinsi Pinda alivyoimbuliwa lakini hadi mwisho hakuna nilichokuta kinafanana hata kuwa karibu kufanana na huu uzi ulichotumia kama somo. Kwa bahati nzuri pia, mwandishi amejidhihirisha kuwa anazingatia maadili ya taaluma kwa kukiri...
  12. K

    Sendeka: Muhongo asipong'olewa napeleka hoja ya kuwang'oa vigogo bungeni!

    1. Chonde chonde, hii mijadala msiibadilishe kutoka kwenye kujadili hoja zenye kuweza kuchangia kuleta mabadiliko chanya katika maendeleo na kuipeleka kwenye mijadala ya kutugawa kwa misingi ya kanda, Kabila na udini. 2. Hoja za uongo au uchochezi bungeni, ufisadi, chuki binafsi, rushwa za...
  13. K

    Kwa maelezo na takwimu hizi, sioni kama Prof. Muhongo anaweza kupumzishwa!

    1. Umeingiza hoja ya BMK na hoja ya kiwango cha elimu. Ni sawa kabisa, lakini dhambi ya BMK kama ilipitisha kifungu hicho, wataibeba hao UKAWA waliokimbia mjadala. Na wala hiyo siyo hoja mnayoisimamia kumuondoa Prof. Muhongo. Unachotaka kuthibitisha hapa ni kundi la wapinzani kushindwa kusimama...
  14. K

    Sendeka: Muhongo asipong'olewa napeleka hoja ya kuwang'oa vigogo bungeni!

    1. Zipo shughuli nyingi sana halali za kuzalisha mali na kujipatia kipato. Kwa mtu kufikia kulipwa ukamsee mtu kwa chuki na maslahi binafsi na hilo linapokuwa linaweza kuleta taharuki katika jamii unayoiongoza, ni jambo baya sana. 2. Inasikitisha sana kwamba wengine hawajatambua madhara...
  15. K

    Kwa maelezo na takwimu hizi, sioni kama Prof. Muhongo anaweza kupumzishwa!

    1. Huu ndiyo utaratibu wana JF wanatakiwa kuiga. Yaani kujenga hoja. 2. Ninakubaliana na wewe kwa ushauri wa wale wote ambao wame wahi kuudhiwa kwa kauli za ukweli wa Prof. Muhongo, wajipange na kujenja hoja yao hiyo badala ya kujifunika kwenye kivuli cha hoja isiyohusika kabisa. 3. Tuwe...
Back
Top Bottom