Recent content by KirusiChaUpendo_KCU

  1. KirusiChaUpendo_KCU

    Jeshi wee muacheni apumue ajiuzulu, kwani nani alimchagua!

    Maji Kashavulia Nguo Lazima Ayaoge
  2. KirusiChaUpendo_KCU

    Natafuta Kazi, hata kama ni Intern. Nina Shahada ya Manunuzi

    Usijali utapata humu wengi walikuwa kama ww wakapata zidi kuomba mungu kijana
  3. KirusiChaUpendo_KCU

    Wazo lako la biashara weka upate mwenye uzoefu na hiyo biashara

    Habari wana JamiiForums Karibuni tujadili mawazo ya biashara ambayo yaweze kukutanisha na watu ambao wanauzoefu na hiyo biashara kujadili kwa kina kama kupata uzoefu karibu tujadili
  4. KirusiChaUpendo_KCU

    Ulevi ndiyo chanzo kikuu cha ndoa nyingi kuvunjika

    Sasa huoni kwamba tatizo hilo natatizo halizoeleki linatakiwa kutatuliwa
  5. KirusiChaUpendo_KCU

    Ulevi ndiyo chanzo kikuu cha ndoa nyingi kuvunjika

    Habari Wana JamiiForums Kunaswala Naoana Kwasiku Hizi limekuwa Tatizo Kubwa Hususan Wana Ndoa Kwa Upande Wetu Wanaume baadhi yetu unywaji wa pombe ndiyo sababu yakuleta migogoro ndani ya ndoa nakusababisha mipasuko na kutotoelewana nakusababisha kubadilika kwa wenza wetu kutokana na tabia zetu...
  6. KirusiChaUpendo_KCU

    Ligi namba sita kwa ubora?!

    Kwa point za CAF zinaibeba ligi je Kiuhalisia ushindani upo kuwepo kwenye hiyo nafasi
  7. KirusiChaUpendo_KCU

    Mahusiano kuanzia miaka 25+ kijana wa kiume hakikisha una hivi vitu muhimu

    Habari Wana JamiiForums Mambo muhimu kwa kijana wakiume mwenye Umri 25+ Unapokuwa kwenye mahusiano • Kipato • Chumba uwe umepanga • Shughuli yoyote itakayokuweka ubize Vingine Wadau Ongezea kama nimesahau
  8. KirusiChaUpendo_KCU

    Ligi namba sita kwa ubora?!

    Imebidi leo nifikirie kwa undani sana hizi taarifa zinazotolewa na vyombo vyetu vya habari mbali mbali hapa nchini kwa kupamba baadhi ya matangazo yakisema ligi namba 6 kwa ubora tanzania kiukweli nijambo jema kwa watanzania jambo moja muhimu ni je kitugani wanaangalia mpaka kuupa hadhi mpira...
  9. KirusiChaUpendo_KCU

    Ukitokea ugomvi kati ya wanandoa na mmoja akafariki, maamuzi ya kesi yatakuwaje?

    Napenda kujua kama umetokea ugomvi kati ya wanandoa ikatokea mmoja wao kapatwa na umauti bila kusudia. Je, taratibu gani zitafata kisheria? Je, aliyehusika anaweza kupunguziwa adhabu ya kifungo cha maisha?
Back
Top Bottom