Huyu dawa yake ilikuwa ni moja tu risasi ili liwe fundisho kwa wengine samahani kwa nitakao wakwaza kwa comment yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamuuliza alikuwa anafanya nini pale na wewe ulikuwa unafanya nini pale?na kama siyo wote mlikuwa kwenye mawindo.hakuna wa kulaumu mwenzake hapo mwaache aendelee na business zake ndiyo maisha aliyo aamua kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.