Recent content by kirundwa

  1. K

    Arusha: Mtekaji wa watoto afariki dunia kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka

    Huyu dawa yake ilikuwa ni moja tu risasi ili liwe fundisho kwa wengine samahani kwa nitakao wakwaza kwa comment yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

    Unamuuliza alikuwa anafanya nini pale na wewe ulikuwa unafanya nini pale?na kama siyo wote mlikuwa kwenye mawindo.hakuna wa kulaumu mwenzake hapo mwaache aendelee na business zake ndiyo maisha aliyo aamua kuishi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    TANZIA: Mbunge mpya wa CUF, Hindu Mwenda afariki dunia

    R. I. P Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Usaili wa jana wa TRA kuna mtu aliniambia hajaona mtoto wa Kihindi pale, Unajua kwa nini?

    Pia wahindi wengi mabaharia Sent using Jamii Forums mobile app
  5. K

    Picha: Rais Mstaafu Dk.Jakaya Kikwete akivuna mahindi shambani na Mke wake Salma Kikwete

    Angegonga hata twenty years kama Kagame tumemis aisee lol Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Huyu dada yake na Kiba yuko bomba na anajistiri sana,hivi kaolewa???

    Nani kasema anataka kuolewa?nasikia anasoma kwanza mpaka awe na PhD Sent using Jamii Forums mobile app
  7. K

    TRA yaikadiria ACACIA deni la Tsh. Trilioni 425.4 kama Malimbikizo ya Kodi

    Kama vipi waondoke tu wamevuna vya kutosha Sent using Jamii Forums mobile app
  8. K

    Umri wa mwanamke kuolewa. Ukishapita huu anakuwa na wakati mgumu sana. Na muoaji uwe makini

    Ni kweli 22_28 ndiyo umri mzuri but 30_______uzeee umeanza
  9. K

    Hii picha inasikitisha sana kwa kweli

    Hivi kwanini Kilimanjaro kila mara hana kazi za kufanya?mbona wa mikoa mingine hawaji kwake?
  10. K

    Nimeibiwa IST maeneo ya Tegeta kibaoni karibu na KB Bar

    Pole sana watakuwa washaa anza kuikatakata screpa
  11. K

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo aagiza Waziri Mkuu mstaafu Sumaye akamatwe na polisi popote alipo

    Na hatutakaa tupige hatu watanzania tukiendekeza ungese huu
Back
Top Bottom