Heshima mbele wadau,
Naomba kujuzwa hii benki ya CRDB Plc wanachukua watumishi kuanzia GPA ya ngapi. Toka nimalize chuo napeleka CV tuu kila siku. Wana CV zangu zaidi ya kumi. Lakini kila uchao wanaajiri vijana wenzangu, lakini hata kwenye interview sijawahi bahatika kuitwa.
Ningependa kujua...
Laiti waajiri wangejua watumishi wao wameomba ruhusa kuja huku wengi wangefungashiwa virago jana, Hii inaonyesha namna gani jana kulikuwa na ruhusa nyingi maofisini. Na huduma kudorora baadhi ya idara na maofisis.
Kiongozi umri wangu unakimbia fasta askwambie mtu, tunatakiwa kuanza familia tunasita coz hakuna uhakika wa sustain kila siku. Ni kazi ndg yangu ila sijakata tamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.