Recent content by Kirivya

  1. Kirivya

    Yaepuke maumivi ya usaliti kwa njia hii

    Nimependa hiyo mkuu ukijidai kujitia presha unakufa unamuacha na mafisi wanaendelea kula,ikiwezekana hata hizo hela anazohongwa akikupa unaenda kutafunia maku zingine maisha yanasonga .
  2. Kirivya

    Breaking Newz...

    Jaribu kutumia kifaa kinachoitwa akili kwenye mwili wako kufikiri utaona matokeo mazuri
  3. Kirivya

    Najuta kuingia katika mahusiano ya mama mtu mzima

    Mwambie aje nyumbani umfanyie party aje na ndugu zake
  4. Kirivya

    Moshi wa bangi ukeni

    Moshi wa bangi jamani unasaidia nin? Huyu shetani tu anwapitia
  5. Kirivya

    Ushauri: Nimemtia mke wa mtu mimba

    Jifanye kama we ndo huyo mume wa huyo mke uliye mtia mimba alafu hilo jibu utakalopata ndiyo sahii.
  6. Kirivya

    Mrejesho: Boss ananitaka kingono, nipo njia panda, naomba ushauri

    Hizo ndo nafasi tunazitafta hutakaa huione tena hiyo bahati!!!
  7. Kirivya

    Nateswa na hawa wanawake wa mitandaoni

    Hapo hata siwezi kukushauri ila siyo kila kitu ni Prepaid vingine lipa baada ya kutumia
  8. Kirivya

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Duh pole sana mwambie huwezi hiyo tabia abadilike kama hawezi nakushauri achana na hiyo kazi mwili wako ni wathamani zaidi na akipata mwingine mzuri zaidi yako we utafukuzwa yeye apewe hiyo nafasi yako.
  9. Kirivya

    Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

    Wana madharau sana
  10. Kirivya

    Mwanaume epuka kufanya mapenzi katika hali na mazingira haya

    Usifanye mapenzi ukiwa uchi maana utahisi watu wanakuchungulia akili haitatulia.
  11. Kirivya

    Pendo la kweli linajali Pesa au Moyo?

    Zamani ilikuwa moyo ila kwa sasa ni mwendo wa Tigo pesa,M-pesa,Airtel money na Halo Pesa tu.Moyo hata ng'ombe anao unauzwa buchani.
Back
Top Bottom