Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Wewe sio mtu mzurKamwambie mume wake akikusamehe kwa hiyari yake hadi mwenyezi Mungu atakusamehe !
Wewe sio mtu mzurKamwambie mume wake akikusamehe kwa hiyari yake hadi mwenyezi Mungu atakusamehe !
Nakupenda...kumbe wengine ni mababu na mabibi
Case closed.Kamuombe mumewe akushauri.
Nakupenda pia babuNakupenda...
Mkuu sijakusikia vizuri. Atii anamfanyaga.....?Umemtia mimba mke wa mtu?Kwani mwenyewe anamfanyaga matakoni?
Twende PM basi tukapange michakato ya kupalilia penzi letu jipyaNakupenda pia babu
penzi jipya tena babuTwende PM basi tukapange michakato ya kupalilia penzi letu jipya

Kwani limeshachakaa??penzi jipya tena babu![]()
Mkuu ungekuja kuomba ushauri kabla hujamtia mimba!!Habari JF,
Naombeni ushauri jamani, hapa nilipo nimempa mke wa mtu mimba, na mimi mwenyewe ninafamilia yangu.
Amesema nikiikana atakuja kwangu aishi, sasa hapa nashindwa nifanyeje, nimemwambia atoe hataki.
Naombeni ushauri jamani.
Ahsateni.
Habari JF,
Naombeni ushauri jamani, hapa nilipo nimempa mke wa mtu mimba, na mimi mwenyewe ninafamilia yangu.
Amesema nikiikana atakuja kwangu aishi, sasa hapa nashindwa nifanyeje, nimemwambia atoe hataki.
Naombeni ushauri jamani.
Ahsateni.
ha ha ha limeisha kabisaKwani limeshachakaa??