Wapendwa;
Nawasalimu nyote ::
Lengo la kuanzisha Uzi huu ni "Kutaka kufahamiana na kupeana taarifa mbali mbali kwa wanafunz waliochaguliwa chuo kikuu cha bugando 2016/2017
Nimeona ni jambo jema tukaanza urafiki mapema kabla hatujafika rasm chuon tr1&2 ili kuweza kuleta ukaribu wa kuzoeana ...
We mbona ndo mjingaaa hujui hii INA faida kutambua tabia za wahusika eneo fulan katk Tanzania yetu japo sio weng ila kwa kiasi kikubwa wapo hivoo usidhan kila Mara watu wanahitajika kuongelea fedha haya ni mambo ya msing sana katk maisha hususan kwa wanaoelekea maisha ya ndoaaa!! So stop...
Kingine ambacho TCU wamekihimiza ni kuhusu how u prioritize ur faculties couz ndicho kigezo wanachokitumia kukuchagulia!! Soma kwa wale weny detailsza kutemwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.