Recent content by kirchoffs

  1. kirchoffs

    Fastjet flight delay at Mwanza

    Anyejua nauli kias ghan plzzz nimwagie hap
  2. kirchoffs

    Fastjet flight delay at Mwanza

    Hiv kutoka moshi kwenda mwanza fastjet ni shiling ngapi nauli plzzzz
  3. kirchoffs

    MUHAS

    Sasa kama umepig fresh wenge la nin Dr mawenge nakuona
  4. kirchoffs

    Catholic university of allied science(BUGANDO)

    Samahan nilisahau na wakuu wa PHARMACY BOSS
  5. kirchoffs

    Catholic university of allied science(BUGANDO)

    Wapendwa; Nawasalimu nyote :: Lengo la kuanzisha Uzi huu ni "Kutaka kufahamiana na kupeana taarifa mbali mbali kwa wanafunz waliochaguliwa chuo kikuu cha bugando 2016/2017 Nimeona ni jambo jema tukaanza urafiki mapema kabla hatujafika rasm chuon tr1&2 ili kuweza kuleta ukaribu wa kuzoeana ...
  6. kirchoffs

    Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

    Kaza kichwa sasa maana unaonekana unalalamika kwa unachohis kuwa unakijua kumbe holaa
  7. kirchoffs

    Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

    We mbona ndo mjingaaa hujui hii INA faida kutambua tabia za wahusika eneo fulan katk Tanzania yetu japo sio weng ila kwa kiasi kikubwa wapo hivoo usidhan kila Mara watu wanahitajika kuongelea fedha haya ni mambo ya msing sana katk maisha hususan kwa wanaoelekea maisha ya ndoaaa!! So stop...
  8. kirchoffs

    Nimekosa First Round, kwa nilivochagua hapa nitapata second round?

    Ila angalia GS na bam kama una f wala usijihangaishe na hizo koz ila ka umepig fresh poa
  9. kirchoffs

    Nimekosa First Round, kwa nilivochagua hapa nitapata second round?

    Ongeza hapo education couz kama hiyo E ni ya phyz utakua na probability kubwa ya kukosaaa
  10. kirchoffs

    Msaada: Vigezo vilivyotumiwa na TCU kufanya selection!

    [emoji9] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. kirchoffs

    Msaada: Vigezo vilivyotumiwa na TCU kufanya selection!

    Kingine ambacho TCU wamekihimiza ni kuhusu how u prioritize ur faculties couz ndicho kigezo wanachokitumia kukuchagulia!! Soma kwa wale weny detailsza kutemwa
  12. kirchoffs

    Msaada: Vigezo vilivyotumiwa na TCU kufanya selection!

    Hahahahaaaa jaman tuache utan na tcu MTU ana three ya 13 afu anaomba MD MUHIMBILI HAHAHAAAAAAAAAA NI CHA RIBS TYU KINABAKI
Back
Top Bottom