Basi wazazi wako wako sahihi kabisa na kukuambia ujichanganye. Maisha hayako hivyo, kijana mdogo unaishi kizee mpaka una athirika na nyeto, ona sasa hata erection imegoma. Hebu jichanganye mtaa uone watoto wazuri kama hukupona ugoi goi huo.
Ukiwa mgumu wanapitia kwa mke, mtoto wako. Sasa ukionekana wewe kichwa ngumu sana, bora uwapishe tu. Na ukisha ingia kwenye huo mtego huwezi toka maana umesha chafuka. Sasa unaelekezwa kwa remote.
Wakiwa wengi watajaza kanisa ndio kinachotafutwa, baada ya hapo watashuhudia maigizo ya kufufuliwa na picha, video zitapigwa, wajinga wengine wataona na kuamini, kesho watajaa tena na hizo mia tano zitakuwa nyingi. Angalia picha kubwa kijana.
Same thing kwenye huo mkutano, watajazwa hao raia...
Mapenzi gani kuwafuata wateja wako waje wakulipe? Kikubwa hapo ni hiyo biashara wanayokuletea. Ndio sawa na hao wanaobebwa na malori, ni kuja kuhalalisha kura.
Jamani hivi serious kweli mnategemea hiyo tume iwe na maamuzi yapi tofauti na wanavyoelekezwa? Yaani kiini macho cha kujiita tume huru kimewadanganya?
Msajili kaandikiwa barua kama ya ACT na mwanachama wa CCM, mmeona amechukua hatua yoyote?
Acheni kuumiza vichwa fanyeni mambo mengine.
Iko hivi, na ilisha semwa na JK Nyerere. Mwanasiasa dhaifu, akiona ameshindwa hoja huingiza udini au ukabila ili kupata support ya watu wa dini yake au kabila lake.
Hii ndio imekuwa mbinu ya wanasiasa dhaifu miaka mingi.
Mama anakuja kumsafisha Samia mbele ya macho ya kimataifa. Mara tu utaona maafikiano,na TL atatolewa lakini lengo la kumweka pembeni ya uchaguzi litakuwa limesha timia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.