Mjadala huu umetoa mwanga kwamba watu wengi hawana Elimu ya uwekezaji na hawajui kitu kinaitwa UTT(Mifuko ya uwekezaji wa pamoja)
Sitaki kusema mambo mengi, wewe binafsi kama mwekezaji mtarajiwa tafuta Elimu juu ya haya masuala. Kwa urahisi ingia YOUTUBE kisha search kwa neno UTT zitakuja video...
Kuwa mvumilivu ndiyo kwanza umejiunga, hesabu zitaanza kwenda sawa. Hapo huwezi pata 1000 kwa siku itakuwa 833 hivi, Mimi nimeweka na hawa watu wapo vizuri kwenye kuongeza faida zako. Siku za wikendi hawafanyi kazi kwahiyo kama ijumaa haukuwekewa faida zako za siku hiyo basi watakuwekea faida...
Habari, Shamba linauzwa eneo la Ismani mkoa wa Iringa, ukanda huu sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa mifugo, maeneo haya mifugo inazaliana sana na kukua kwa haraka ukilinganisha na kanda zingine hasa zenye baridi. Ukanda huu una joto hivyo mifugo haikubwi na milipuko ya magonjwa. Ukihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.