Recent content by kipoke KIPOKE

  1. kipoke KIPOKE

    Mkuu wa Chuo CBE fuatilia matatizo haya

    Sasa hivi kuna mitihani inaendelea, cha kushangaza vijana wetu baadhi wamelipa ada lakini hawajafanya mitihani kwa sababu mbalimbali za kichuo eti system. Wamepewa ratiba nyingine maana watafanya mitihani tofauti sasa kwa kasi hii matokeo ya wanafunzi darasa moja vipimo tofauti inasikitisha...
  2. kipoke KIPOKE

    Msafara wa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe umepata ajali ukitokea Geita

    na wewe utakua na gundu ajari imewapata viongozi wengine unamsema Mwakyembe au hujaelewa?
  3. kipoke KIPOKE

    Msafara wa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe umepata ajali ukitokea Geita

    mleta habari kakosea sababu lazima iwe moja alikua anakwepa watu au tairi ilipasuka? tuwekeni sawa
  4. kipoke KIPOKE

    Meya wa jiji la Dar: Zoezi la ukaguzi kila nyumba aliloagiza RC Makonda ni Batili

    ukiwapata ambao hawana kazi maalumu unawafanya nini? makonda wewe ni kiongozi safi sasa angalia mambo mengine sio kama kuna kazi tangaza watu waje waombe ?
  5. kipoke KIPOKE

    Upotevu wa Mafuta bandarini: Mtendaji Mkuu WMA, Meneja Vipimo wasimamishwa kupisha uchunguzi

    mwakyembe walimuhamisha baada ya kuona anataka kuwaumbua hilo ni jipu kubwa litawahusu wakuu wa zamani
  6. kipoke KIPOKE

    Riba kwenye benki zetu (twiga na postal bank)

    Waziri MPANGO Hapa kazi tu naona inakuja kivingine Hebu tupia macho kwenye riba zinazotolewa na mabenki yetu haya kama Postal Bank ,Twiga bank corp na wengine, nimejaribu kufuatilia riba inayotozwa ni kati ya 40%mpaka 50% ukikopa tshs 15,000,000/= kwa miaka mitano unalipa 29,000,000/= hapa kazi...
  7. kipoke KIPOKE

    DAWASCO MAGOMENI NI JIPU

    Nichukue fulsa hii kuelezea huduma tunazopatiwa na DAWASCO kwanza kuhusu malipo wameintroduce malipo kulipa kwa mtandao ukienda kuuliza kwenye max malipo unaambiwa hudaiwi ila wakipita jamaa zetu wakata maji wanakutajia pesa tofauti na mashine za max malipo haya hilo tuliache tuje kwenye swala...
  8. kipoke KIPOKE

    Huduma Za Hindu Mandal Hospital Ni Mbovu. Kigwangalla Wamulike

    ndugu wizara ya afya ndio inatoa vibali vya kuendesha hospitali kwa mashart mazuri tu ya kujali wateja ambao ndio sisi wagonjwa so ninauhakika Dr kigwangala ataingila kati na hasa akizingatia hii ni fani yake anajua masharti ya huduma kwa wateja hospitalini
  9. kipoke KIPOKE

    Huduma Za Hindu Mandal Hospital Ni Mbovu. Kigwangalla Wamulike

    sasa kali zaidi tumeuliza muda wa kutupatia mafaili mama kasema hajui inaweza hata ikafika mchana wewe tulia basi haya tutulie wapi viti vyote vimejaa BORA mwananyamala kuliko Hapa
  10. kipoke KIPOKE

    Huduma Za Hindu Mandal Hospital Ni Mbovu. Kigwangalla Wamulike

    Kwa masikitiko makubwa nikiwa mgonjwa leo hii nilienda kupata huduma hapo lakini majibu niliyoyapata ugonjwa ukaongezeka. Kuna mama ambaye ndio supervisor anajibu watu utafikiri ni polisi "Kama huna namba tutapata wapi, tumesema kaa huko utaitwa" kwa sauti ya hasira. Ukiwahi saa moja kamili...
  11. kipoke KIPOKE

    Magufuli+majaliwa=kazi

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza nyie wateule wa Mungu kwa Tanzania tulionayo nyie ndio mliokua mnatakiwa na mmepatikana tuibulieni Tanzania yetu,MMEFANYA VIZURI SANA sasa angalieni majipu mmeyatumbua mbona hamyakamui?TRA Limetumbuka lakini halijakamuliwa bado kuna chain kubwa sana hapa kuna wale...
  12. kipoke KIPOKE

    Sasa tumeanza kuijua kazi ya 'Katibu Mkuu Kiongozi'

    waulize watendaji wizara ya uchukuzi kuhusu mchakato wa mabehewa
  13. kipoke KIPOKE

    #What Balozi Sefue Should do

    ndugu ni TTCL na sio TCCL na mimi niongeze RAILWAYS NA KAMATA Buses zirudi wafanyakazi wa serikari wasafiri kwa warant
  14. kipoke KIPOKE

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Aende zake hapa kazi tu mahaba apeleke hukooooo na katiba yake mpya asubiri sana
  15. kipoke KIPOKE

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    msituharibie chama chetu nyie ukawa.nendeni mkachunge ngombe
Back
Top Bottom