Recent content by Kipodo

  1. K

    Zitto: Nikipata mamlaka, nitamuajiri Sirro ili nimfukuze kazi awe na rekodi ya kufutwa kazi

    Wewe umetumwa nn. Kiongozi mzur was siasa ni yule anayefanya maslahi ya watu wote na so jimboni tuu.
  2. K

    Uzao wa nguruwe ni wa ajabu sana ! Pamoja na kuliwa sana duniani lakini hawapungui katu.

    Hawataweza kupungua na zaidi watazidi kuongezeka. Nguruwe kitaalamu wanna uwezo mkubwa wa kuzaa sana(highly prolific) Huzaa kutokana na idadi ya chuchu alizonazo. Hukua haraka sana(ndani ya miezi 5 tangu kuzaliwa anauwezo wa kuzaa. Asante Mungu kwa kutupatia kiumbe mtamu sana. Sent using Jamii...
  3. K

    Kesho naanza safari yangu ya kwenda jijini Tanga

    Huyo agent balaa sana Hadi mashoga anakutafutia Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Kaniomba nimsindikize kwake alichonifanyia sitasahau

    Hata avae ya chuma ataliwa tuu,toka lini mkate ukafurukuta mbele ya Chai hasa ya rangi
  5. K

    Kwa wale ambao waliwapa second chance wapenzi wao ambao waliwasaliti, kwanini ulimsamehe?

    Mapenzi huwa na kizunguzungu mno hasa unapomwacha mpenzi na kwenda kwa mwingine; then unapokimbilia unakuta bora ulipotoka.
  6. K

    Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

    Tatizo kichwa kidogo kikisimama,kikubwa hakifanyi kazi
  7. K

    Mtu Aliesomea Course Ya Community Health Anaweza Kujiendeleza Kwa Kozi Gan Yeyote Ya Afya???

    Unaweza kwenda kusoma Public health and Managment. Kazi zipo nyingi sana hasa kwa halmashauri kama vile waratibu za afya au katibu wa afya kwa hamlashauri
  8. K

    Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye

    Kuku wakienyeji hata umpandishe gorofa ya kumi ataparua tuu ukuta
  9. K

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Pole sana,never give up. Usiiuze hiyo nyumba.Anza na ufugaji wa wanyama ambao wanahitaji sana katika jamii mf kuku,pig n.k. Ukifanya hivyo within six months utakuwa upo mbali sana na hatimaye utaweza mudu maisha yako.
  10. K

    Mambo nisiyoyapenda nikiwa faragha na mwanaume

    Aonavyo mtu ndivyo alivyo
  11. K

    Hivi ni kosa kupokea simu ya mpenzi wako wa zamani mbele ya mpenzi wako?

    Mzee baba hiyo ni hatar,(sawa na kutafuta bikira wodi ya wazazi)
  12. K

    Joyce Kiria alalamika hadharani kunyimwa "Dyudyu"

    Huyu mwanamke hana akili kabisa,asitake kutafuta umaarufu usio kuwa na msingi;kama alikuwa hapati tendo la ndoa kwa nn haku report for the time being? Kama aliweza vumilia hilo kwa nn asimvulie mshikaji wake ambaye kaishiwa hela?(au ndo kauli mbiu ya supper woman?)
Back
Top Bottom