Recent content by kipisii

  1. kipisii

    JamiiForums Tanzania Anayedhani mgombea mwenza CCM ni msafi basi hajajua mambo haya!

    Usiogope kunuka jasho ukiwa unatafuta hela ya perfume
  2. kipisii

    JamiiForums Tanzania Taja sababu iliyokuharibia ukashindwa kuwa na mahusiano na mwanamke uliyompenda kwa dhati

    90% ni pesa tu ndio iliyotutenganisha na tuliowapenda...... pesa ni tatizo linalotatua matatizo.
  3. kipisii

    JamiiForums Tanzania Matunda matatu yasiyopatikana kiholela mjini

    Mjini wap? Kama ni dar basi wew sio mtembezi
  4. kipisii

    JamiiForums Tanzania Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

    watu wanajenga sana awamu hii kwa sababu wamechoka kupanga .. na hilo sio la samia wala awamu yaani ni tunajenga kwa sababu tumechoka kupanga full stop.. it's boring now samia samia kila kitu samia tuacheni basi na siasa zenu za kiwaki
  5. kipisii

    JamiiForums Tanzania GE2025 Abdul Nondo: Waasisi wetu wangesusia Mapambano ya kuwatoa Wakoloni tungepata Uhuru?

    Tuwe wakweli tu .. CHADEMA na wapinzani kwa ujumla kushika dola kwenye nchi hii ni ngumu sana na wenyewe wanajua Hilo. CCM itatawala nchi hii mpaka mwisho wa dunia....wao waendelee hivo hivo kumsusia fisi bucha.
  6. kipisii

    JamiiForums Tanzania Wanaume mnaozama chumvini ujasiri huo mnautoa wapi?

    Tunakunywaga konyagi ndogo kwanza.
Back
Top Bottom