Recent content by Kipilime

  1. K

    Logistic and Transport Management, National Institute of Transport

    Tatizo ni kwamba hawa ndugu zetu wa BRN wameambiwa sana kuhusu tofauti ya neno faculty na degree program hawaelewi.
  2. K

    Wanawake na matiti yao...

    Kweli utoto umevamia jukwaa
  3. K

    Vitabu vya Nyangine vichomwe moto popote vilipo

    Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Nyambari Nyangwine ni chanzo cha kufubaa kwa elimu Tanzania. Naona watu wanasukumwa na hisia zaidi badala ya hoja. Binafsi sina ugomvi na Nyangwine ila kazi zake za kutaaluma ndizo zilizo hovyo sana. Tungekuwa katika nchi za watu makini vitabu hivyo...
  4. K

    Msaada kuhusu kozi ya PUBLIC HEALTH.

    Ninavyoelewa mimi hapa Tanzania hakuna Bachelor of Public Health. Ila kuna MPH. Undegraduate kuna related programs kama vile Environmental Health Science. I stand to be corrected
  5. K

    Msaada kuhusu kozi ya PUBLIC HEALTH.

    Kwanza Mzumbe hakuna Public Health. Pili jieleze vizuri postgraduate au undergraduate.
  6. K

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    Tatizo si chuo ila ni mtu mwenyewe. I don,t see any problem with Mzumbe kwa kuwa kina wahadhiri wazuri na wenye sifa. Kwa kipindi cha miaka 14 tangu kupandishwa hadhi kuwa chuo kikuu mengi yamefanyika. Kimetambulika kimataifa zaidi, kimeanzisha ushirikiano na vyuo vingi duniani na programm...
  7. K

    Mwalimu wa French

    Unaonekana huna nia ya kusoma kifaransa. Mara ni wasanii halafu unataka contact zao. Anyways u dont judge a book by its cover. If u ar in mza go there physically meet them, talk to them and see if really they are wasanii or not
  8. K

    Mwalimu wa French

    Umeshafundishwa nao au umesikia tu
  9. K

    Mwalimu wa French

    Nenda pale Mviringo karibu na U turn
  10. K

    Kiwanja kinauzwa Dar es Salaam

    If u are a serious buyer you know what it means
  11. K

    Kiwanja kinauzwa Dar es Salaam

    Kiwanja kipo Block A Kisukulu kilometer 1 kutoka gereza la Segerea. Kimepimwa na kina offer. Kiwanja kipo barabarani na kuna umeme tayari. Kina ukubwa wa meter 25 x 50. Bei ni maelewano. Piga 0768248524 kwa mawasiliano zaidi.
  12. K

    Msc Finance and Accounting

    UDSM hakuna course ya MSc Accounting & Finance. Hiyo kozi inatolewa Mzumbe University pekee. Kilichopo ni kwamba UDSM hawawezi kumdahili mtu mwenye Advanced Diploma katika programme ya Masters hadi mtu afanye Postgraduate Diploma
  13. K

    Hivi Emmanuel Nchimbi ni Dr Wa Nini???

    Ni kweli alirudi kusoma Mzumbe University na akatunukiwa shahada ya uzamivu mwaka 2011.
Back
Top Bottom