utakuwa ulikutana na matapeli wanaojifanya ni TISS. Hawa jamaa wapo wazuri sana na tusijumuishe ubaya kwa wote kama ilivyo kwa mchungaji au sheikh aliyekamatwa kwa uzinzi kisha tukasema hakuna sheikh wala Askofu mwema.
Huu ni udaku uliojaa blabla tu taarifa haina mfano hata mmoja imejaa tuhuma tu
Hawa TISS hawako wazi kama Polisi mwandishi angetuweka wazi zaidi ili tujiridhishe
Tunajuaje labda wanasiasa wameshauriwa kiusalama lakini hawashauriki? kuwaondoa viongozi wa vyombo vya ulinzi katika mazingira haya haitatusaidia tutakuwa tunatibu matokeo badala ya chanzo.
Ukitibu chanzo utakuwa umetibu mfumo lakini ukitibu matokeo utakuwa utoa kafara baadhi kwa kuwajibika kwa...
Mfumo wa Usalama ukivurugukika wa kulaumiwa sio vyombo vya Usalama pekee,
kuna mfumo wenyewe, kuna wana siasa, kuna wananchi wote wanapaswa kubeba dhamana hii. Hata Marekani ilipopigwa na Osama haina maana vyombo vyake ni dhaifu. Boko haram ya Nigeria haina maana Nigeria ni dhaifu kiusalama
Kimsingi madiwani wa Vijibweni (CCM), Kibada (CUF), Kigamboni (CCM), na Tungi (CCM) wanaotuhumiwa kwenda dodoma na waziri na baadhi wa wenyeviti wa serikali za mitaa hawako pamoja kukidhi kiu ya wakazi wa kigamboni.
Diwani wa kata ya Somangila hakwenda nao dodoma ingawa kata yake iko kwenye...
Wakati wa kampeni ilisemwa kwamba mtajuta 'kumchagua' kama kweli alichaguliwa kihalali, sasa wakati wa majuto umefika angalia kauli zake kuhusu hatima ya mradi huo.
mbunge na wakazi wa kigamboni hawajakataa mradi. Tofauti zao ziko kwenye mchakato kuelekea mradi huo ili mradi usije kuwaacha...
Kigamboni nzima wanajua kuwa ni jambazi kama una rafiki anaishi huko uliza hilo halina utetezi.
Wengi wanasema ni njia za panya zimemfikisha hapo alipo (udiwani)
Ni darasa la saba ana fedha nyingi zinazodaiwa ni halamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.