1.Mchamungu wa kiislam 2.asizidi miaka 27 coz am 30 yrs old 3.mrefu na mnene kiasi sio bonge rang yoyote sio ya mkorogo 4.kipato changu 10000 per day kutokana na ujasiriamali wangu ila naendelea kusaka ajira 5.elimu shahada ya sayansi ya jamii 6.mawasiliano email.athuman_jumanne@ymail.com
kaka umevurugwa nn mfanyakazi wa kulisha ng'ombe halafu aje kuwa mke wako acha uhuni bana inaonekana ww ni mzee wa kabang wanaume mara nyingi ndio wachunga ng'ombe au we mmasai
ww kwani dini gani maana mtu anae mjua mungu she/he can not do such business u want to do it is more than humiliation or exploitation ww hapo husaidi watu unaham ya kumpoteza mtu haya maisha tuuuuuuuuuuuuuuu 250,000 per wiki?mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
Sasa hivi hawa jamaa wa tpdc wana nia ya kutoa ajira kwa wote au ndio magumashi always age age an now not only on the tpdc most of compony u will find age limit hii sign ya kuwa nafasi zimejaa fine but we still fight till the end of the game.
Wewe ukitaka baba ako alichambue sambusa jaribu kujifanya mnaishi maisha ya kizungu kila aendapo na ww upo akirudi anakubusu mara kakupeleka beach hili nitatizo 2 most of african family uone kama hajakutafuna
jaribu kwanza kumweleza kichapo alichokuwa anakupa yule wa mwanzo everything alivyokuwa anakufanyia mfundishe yote labda wa mwanzo alikuwa mtu wa kuzama mgodini akishindwa hamia airtel(kwangu) hutajutia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.