Recent content by kipekuzi

  1. K

    Mtuache Warombo, kwa raha zetu

    Afadhali hii kitu imewekwa wazi kama ni kweli ili rombo izidi kujulikana. Sema tu sio rombo nzima ni kile kisehemu cha mpakani kinaitwa kikelelwa ndo kimejawa na hizo tabia. Sasa dc yeye akasema rombo nzima sema com skills nayo ni shida wakati mwingine.
  2. K

    Foundation Course

    Ingia website ya chuo cha uhasibu arusha www.iaa.ac.tz check link ya babati campus kuna namba ya simu piga utapata yakupasayo kufanya. Asante
  3. K

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, January 27, 2015

    Wapi mmeona hiyo kitu. Nenda youtube chek speech ya obama majuz hapa ilivyonyoooka akihutubia congress utazani anakaa tena zaidi ya miaka mitano kumbe miwil au mitatu. Nyinyi mnapiga maktime tu na mabichwa yenu yamejaa udini. Pambafu.
  4. K

    Madudu mengine ya NECTA

    Unashngaa nin wakti tushazoe kuzalisha mambulula. Ndio kilichobaki
  5. K

    Kauli 10 za walimu darasani

    Unaweza kusolve differential equation yenye equation nne? Headmaster ifunda tech 2005. Almight God rest his soul in his eternal peace.
  6. K

    Polisi yafyatua risasi, mabomu ya machozi Ubungo kuzuia vurugu

    Hii mijitu ya tanzania imelaaniwa na shetani ndo maana kila kitu wanataka kiende upande upande tu hawataki uhalali. Ndo maana moto unayachoma yale majizi yote yaliyokula hela za escrow na utazidi kuyachoma.
  7. K

    Mtaani kwangu CCM imedondokea "li-pua" kwako je?

    Kikokwaru ilikuwaga ya ccm for 20 years. Sasa chadema imeilaza chali
  8. K

    Mtaani kwangu CCM imedondokea "li-pua" kwako je?

    Hapa r chuga ccm kapigwa kaangukia pua na meno. Bichwa lote limejaa manundu
Back
Top Bottom