Recent content by kipanta

  1. kipanta

    FT: Ihefu SC 0-1 Young Africans SC | CRDB Federation Cup | Sheikh Amri Abeid , Arusha | 19.05.2024

    Timu zote zina quality players, natamani hii ingekuwa ndio final
  2. kipanta

    FT: Ihefu SC 0-1 Young Africans SC | CRDB Federation Cup | Sheikh Amri Abeid , Arusha | 19.05.2024

    Bado haijaisha , uto anashinda dakika za juoni
  3. kipanta

    Ahmed Ally ndiye mchawi namba moja Simba

    Naanza kuamini
  4. kipanta

    Rais wa WBC, Mauricio Suleiman ataka uwepo wa V.A.R na majaji watano kwenye pambano kati ya Oleksandr Usyk na Tyson Fury

    Pambano linalosubiriwa kwa hamu na wapenda boxing ulimwenguni.... Bonge moja pambano, siwezi tabiri ila natoa 50 -50 kwa wote
  5. kipanta

    Tetesi: Ayoub kuikacha Simba mwishoni mwa msimu huu

    Mwandishi ni MAULIDI KITENGE
  6. kipanta

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Halla Madrid
  7. kipanta

    Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

    Kuna nini mzee wa tetesi zenye ukweli
  8. kipanta

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Shabiki lialia wa yanga kaanzisha thread kuhusu Simba? 2. Je swed mkwabi amewahi kuwa mwenyekiti wa board mwaka gani? Mwenyekiti wa board serious? Tufike mahala tuache hizi propaganda ambazo hazina tija kwa mpira wetu, Mimi naamini tunaweza kuwa na yanga bora, na vilevile tukawa na Simba bora,.
  9. kipanta

    Shusho, huu wimbo kileleni sio dalili ya u Freemasons?

    Umewaza mbali sana, wewe ndio umetenda dhambi
  10. kipanta

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Wala hata haringi, jaribu kulipia then uone kama anaringa au la, tumsupport mwenzetu
  11. kipanta

    Mamelodi ni Malumo Gallants waliochangamka

    Upo sahihi, Mungu awasaidie yanga
  12. kipanta

    Mamelodi ni Malumo Gallants waliochangamka

    Usimdharau mamelody hivo, ukienda na hii mentality atakuadhibu vibaya sana, mpe heshima yake na ucheze kwa nidhamu, ni moja ya timu tishio kwa sasa barani Africa
Back
Top Bottom