Shabiki lialia wa yanga kaanzisha thread kuhusu Simba?
2. Je swed mkwabi amewahi kuwa mwenyekiti wa board mwaka gani? Mwenyekiti wa board serious?
Tufike mahala tuache hizi propaganda ambazo hazina tija kwa mpira wetu,
Mimi naamini tunaweza kuwa na yanga bora, na vilevile tukawa na Simba bora,.
Usimdharau mamelody hivo, ukienda na hii mentality atakuadhibu vibaya sana, mpe heshima yake na ucheze kwa nidhamu, ni moja ya timu tishio kwa sasa barani Africa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.