Ndio nilishuhudia mwaka flani kwenye Tanzania safari channel
Kile kibanda kikichomwa moto na mtu kutoka kasi
Watu hushangilia Sana kuashiria mambo tayari
Kikao kilichofanyika juzi jumapili kati ya uongozi wa Yanga na usimamizi wa Mayele haukufikia muafaka
Yanga wanadai hawataweza kuongeza ofa zaidi kwa Mayele na wamempa machaguo mawili wakala wake
Wametoa siku 5 aidha akubali ofa ya mezani kusaini mkataba mpya
Au auzwe nje ya chi kwa dola...
Habari wadau najitokeza kwenu kuomba ajira
Nipo Arusha mjini nina uzoefu wa kutengeneza garden na kutunza lkn pia nina uzoefu pia wa ufugaji samaki kuanzia uandaaji wa bwawa mpk kuweka samaki na pia najua kuchanganya chakula chake pia
Kwahio ukinipa ajira yoyote halali basi hivyo vingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.