sasa kama wanawake wazur walikuwa wanapewa haki ya kuitwa miungu ugiriki misri mesopotamia inahusianaje na kuanzisha dini marekani na isambae duniani kote
siku hiyo najaza bando na kukaa karibu na tv nione asilimia ya watu weny smart phone wanavyo wekwa kwenye karandinga kama mitumba kwenye belo
ila nyie nendeni mkabadilishe nchi tutawaunga mkono kwenye comment
tareh 27 awaits
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.