Recent content by kiongozimzalendo

  1. kiongozimzalendo

    Wafahamu snippers/walenga shabaha

    Ndio mfano halisi ila sio wa kwny BONGO MUVI
  2. kiongozimzalendo

    Wafahamu snippers/walenga shabaha

    mafunzo yote na umakin wt huo n kwaajil 2 ya kuondoa uhai wa binadamu tu...!
  3. kiongozimzalendo

    mwenye kujua jina la huu wimbo tafadhal nisaidie

    sio safar mkuu yaan hy nymb nlskia mara moja na nahis haikpta airtm kwny redio
  4. kiongozimzalendo

    mwenye kujua jina la huu wimbo tafadhal nisaidie

    Ni Nyimbo ya nikk wa pili ft joh makin ila kiitikio ipo saut ya msanii wa bongo fleva kachngny kngerza n kiswahil manen nayo kumbka n (ME AND YOU)...tafadhal mwny kuifahamu naomb aniwke link au jina la nymbo
  5. kiongozimzalendo

    Upweke umenichosha

    nakutakia Kila la kheri katika utfutaji wako japo kipengele cha kuwa lazima awe amemalza 4m4 cjkielwa vle kwann umechgua hvy?
  6. kiongozimzalendo

    Natafuta android kwa 120,000

    Daa fnya mpngo ikipatkana nyngne
  7. kiongozimzalendo

    Natafuta android kwa 120,000

    Tecno ipi mkuu
  8. kiongozimzalendo

    Natafuta android kwa 120,000

    kwa ufup napend aina hz mbili za simu
  9. kiongozimzalendo

    Natafuta android kwa 120,000

    Iwe samsung galaxy au sony exprier
  10. kiongozimzalendo

    Mnyama/kiumbe wa ajabu kabisa

    thibitsha kauli yko ingpndza ukatup n mfn
  11. kiongozimzalendo

    Mnyama/kiumbe wa ajabu kabisa

    kila kitu kina muongozo,nA muongozo w binadamu n dini ukifuata dini vizur n maandiko vizur maisha yatakua n mazur n yaliyojaa upendo na amani kwan ndo muongozo ulio bora n mwnyz mungu alifaham fika kuwa binadamu asipokuwa n muongozo bas maisha yk yatakua pabaya kwak n viumbe vingen.Ktk maandko...
  12. kiongozimzalendo

    Machozi Yamenitoka Nikimark Midterm

    Bila shaka Elimu yko hijakukomboa kutoka kwenye ujinga we n mavi matupu kichwani..usifikir kila aliyefel n mwalimu..na hao unaodhan wameungaunga ndo wamekua walimu bora n wazuri..
  13. kiongozimzalendo

    Machozi Yamenitoka Nikimark Midterm

    Inabidi uanzie mbali kama ndo hivyo kuna maana gan ya kuchuja wanafunzi?..kwan huwezi kuniambia mtoto hajui kuandika jina lake wala kusoma alfu utegemee mwalimu wa sekondar ndo akamfundash vyte hvyo akat ilikua anatakiwa awe ameshfahamu kabla y kuingia sekondar.Nando hapo Ujiulze kapitajepitaje...
  14. kiongozimzalendo

    form 6 kufanya mtihani mwezi pili na si wa wa tano...?

    kivipi mkuu kwan wizara si imetngew bajeti yake tayar
Back
Top Bottom