Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,735
Ina maana kule kwa ma nyumbu wa ccm umekosa kipoozeo kabisa mpaka uje huku..... Fimbo ya mbali haiui nyoka.
Ina maana kule kwa ma nyumbu wa ccm umekosa kipoozeo kabisa mpaka uje huku..... Fimbo ya mbali haiui nyoka.
Kwa kawaida ukishakuwa mwalimu tu unapoteza sifa zote za kuwa gentleman. Either uoe mialimu menzako or chukua mianamke miuza kashata na ubuyu ndo saiz zenu malofa nyie.
Wadaa nafasi ya kazi hapa imetangazwa.....
wonders shall never end. Hivi hizi Auto search za wachumba zimewahi kuzaa matunda? Wembamba na urefu vinakusaidia nini katika maisha? Mnene anaweza kukonda na akawa mwembamba haswaa. Na urefu na ufupi ni mipango ya mola. so usiwajaji watu kwa mambo ambayo yapo juu ya uwezo wao. Utaibua koroma
Kwa kawaida ukishakuwa mwalimu tu unapoteza sifa zote za kuwa gentleman. Either uoe mialimu menzako or chukua mianamke miuza kashata na ubuyu ndo saiz zenu malofa nyie.
Mchunge dada yako asije aka apply mkuu!
Binamu..
nina hamu nawe binamu, nitafute
Mmmmh Nina dada ang anawatoto watatu na anatafuta MTU Kama wewe VP utakubali???
Chomoa mmoja darasani kwako aliemaliza form four
nakutakia Kila la kheri katika utfutaji wako japo kipengele cha kuwa lazima awe amemalza 4m4 cjkielwa vle kwann umechgua hvy?