Mkumbushe mwanao;
Asome ili Aelimike sio Apate Ajira.
Anachosoma saa hizi Hatokitumia popote katika Ajira yake.
Asijifananishe na Pisi kali Kuanziq Darasani mpaka Kwenye Ajira yake.
Pia Umkumbushe,Tupo mil.40 kati ya hao kuna Mil.10 wanatafuta Ajira ambazo yeye Ndio Kwanza anaanza kusomea.
Kwa hiyo Achukue hizo 23% zake Au sio,Ila huo mfumuko ubaki hapohapo!! Mbona km na wewe unacheza na Akili za Watu hapa?? Au kwa vile mimi mmachinga sijakuelewa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.