Recent content by Kinyozi_tz

  1. Kinyozi_tz

    Karibisho la Mawazo ya kibiashara

    Bado hata hakuja jaa we njoo tu
  2. Kinyozi_tz

    Karibisho la Mawazo ya kibiashara

    Nitakuwa najibu dms tu
  3. Kinyozi_tz

    Karibisho la Mawazo ya kibiashara

    tunaweza kushirikiana
  4. Kinyozi_tz

    Karibisho la Mawazo ya kibiashara

    Habarini wadau .Kama mnavyo fahamu katika harakati za maisha kuna watu wana idea za biashara na kuna watu wana pesa.Hivyo napenda kualika wote wenye mawazo ya kibiashara chini ya million tano njoo na idea yako dm then tu discuss .Note usije na idea za kitapel au kubeti na wale ambao idea zao...
  5. Kinyozi_tz

    Pesa zetu si salama tena Benki, kuna wizi unafanywa na wafanyakazi

    Umetisha mkuu jambo Kama ni la kweli hakuna haja ya kificha ficha
  6. Kinyozi_tz

    Pesa zetu si salama tena Benki, kuna wizi unafanywa na wafanyakazi

    Bila kutaja bank huo ni unafiki na lamri
  7. Kinyozi_tz

    Yanga acheni Ushamba, barua mliyoandika ni ishara ya kukosa ukomavu

    Wewe ni tahira wa mwisho even your blur picture zinaonesha mpira uko ndani uwezi kuwa na akili kuliko watu wote kichaa wewe
  8. Kinyozi_tz

    Umri katika mahusiano

    Habarini wadau nisi wachoshe ngoja niende moja kwa moja katika mada .Katika jamii mwanaume kumzidi umri mwamamke imekuwa jambo lakawaida sana katika suala zima la mapenzi na mahusiano. Lakini linapo kuja swala mwanamke kuwa na umri mkubwa inakuwa nongwa mara anatoka na lishangazi nk ni baadhi...
  9. Kinyozi_tz

    Msaada:Maumivu ya upande wa kushoto wa kifua

    Hapana normal tu sema inaonekana mwili ulikuwa una reject
  10. Kinyozi_tz

    Msaada:Maumivu ya upande wa kushoto wa kifua

    Issue hapa ilikuwa ninmatumizi ya kahawa .Ameacha na sasa anaendelea vizuri na asumbuliwi Tena .Tuwe makini sana na matumizi ya kahawa
  11. Kinyozi_tz

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    mimi wakati naripoti 4m five nilikutana na the same issue but ki ukweli maisha haya ni kuomba sana wakati unapambana .Unaweza kuwa best darasani but ukaja kupata kazi ya kawaida sana
  12. Kinyozi_tz

    Nahitaji Toyota Premio 2010

    Kama kichwa kinavyo eleza hapo yeyote anae uza gari ya aina hiyo aje pm.
  13. Kinyozi_tz

    Msaada:Maumivu ya upande wa kushoto wa kifua

    Akhansante sana kaka kwa ushauri
Back
Top Bottom