Recent content by kinyotak

  1. kinyotak

    Mshahara wa Mwezi wa 7 kimya

    km netpay imeongezeka walau hata benki advance zitaongezeka, alamdullah
  2. kinyotak

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hivi wewe, tukuulize wewe kama unamkumbuka, au utuulize sisi alikuwa kijawa wetu. Talk what u wana want to write here
  3. kinyotak

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    duh, acha aisee tupeni mbinu kupambana na washirikina, wengine wanasema piga dua, muweke mungu badala ya vifundo hii ndio bora kwangu
  4. kinyotak

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    mnatish watu kwa sababu za kibiashara, tumia njia kushawishi sio kutishia
  5. kinyotak

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    bado unasafari nzito. nyumba kueka bati ikiwa na madirisha wazi na milango hapo kasheshe itaanzia hapo, wakuu nashindwa hata kupaka madirisha rangi nyeusi bado ina ile ya kwanza. ivi niikiiacha vile vile kuna matatizo? watu tunaposhauriana kuhamia hatuambiani kwamba tutafute mafundi wa aina...
  6. kinyotak

    Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

    Hoja yako iko wapi hapo. watu wamesogea kwenye vibanda vyao lakini pesa hata ya kuweka bandalling wanashindwa 5 yrs
  7. kinyotak

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    uchumi wa kati maana yake kila kitu kinakwenda kwa kasi ya dunia, kwa hiyo bado kila mmj wetu atatakiwa afanye kazo kwa bidii sana. mtz ahakikishe anapata riziki zake lkn wkt huo huo huo dereva wa nchi (Rais) anatupeleka vizuri. tukifika uchumi wa juu maana yake pesa na vitu vyetu nchini kwa...
  8. kinyotak

    Ijue Kata iliyotengwa ya "Kanga Kinyerezi " jijini Dar es Salaam

    Habari wana jamvi, Wananchi wanateseka sana, wanasononeshwa na matatizo mengi hasa Maji na Barabara alisikika mwananchi akisema "Huyu aliye itenda hii kanga yetu alikuwa kidume haswaa kiukweli kama tunaishi tumetengwa hatuna baba wala mama jambo la kimaendeleo likianza tu muda mchache...
Back
Top Bottom