Recent content by kinshwi

  1. K

    Ni wakati sasa kwa wadau, serikali, na watunga sera kuangalia upya mfumo wa upangaji wa makazi ili kulinda maslahi ya wananchi

    Katika hatua za maisha, karibu kila mtu hulazimika kuwa mpangaji katika makazi ya mtu mwingine kabla ya kujenga au kumiliki makazi yake mwenyewe. Kutokana na umuhimu mkubwa wa soko la makazi (real estate) na kupanda kwa gharama za maisha kila siku, ipo haja ya kuwepo kwa sheria madhubuti za...
  2. K

    Kuzaa na mwanamke nje ya ndoa

    Umejuaje mimi ni mhaya mkuu? Wahaya ndio wanazaa bila ndoa??
  3. K

    Kuzaa na mwanamke nje ya ndoa

    Mimi ni kijana , 25 yrs old . Unmarried Nimekuwa nikisikia mara kadhaa kwa mabro na kwenye forums za kijamii kuwa kati ya makosa makubwa unaweza kuyafanya kama mwanaume ni kuzaa na mwanamke ambaye huna mpango wa kumuoa, yaani kufanya coparenting. Iwapo nina kipato kinachoniwezesha kutoa mahitaji...
  4. K

    Premio vs crown vs mitsubishi RVR

    Hapa kwenye practicability unamaanisha nini uncle ?
  5. K

    Premio vs crown vs mitsubishi RVR

    Kunae uncle wangu , bachelor baada ya kumaliza chuo na kupata kazi ameanza kujipata , anataka kununua usafiri wa kumsaidia kwenye shughuli zake za kila siku jijini Dar es Salaam . Ameniomba ushauri kati ya Crown, Premio new model au RVR ni ipi itamfaa zaidi based on comfort, running and...
  6. K

    Maisha ya sasa ya msanii Saida Karoli

    Nimerejea Bukoba kwa likizo baada ya miaka kadhaa, na kwa masikitiko makubwa nilikumbana na hali iliyonishtua sana. Nilimkuta msanii nguli wa muziki wa asili, Saida Karoli aliyewahi kutoa nyimbo zilizopata umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi, hadi kuvuka mipaka ya Tanzania akiishi maisha ya...
  7. K

    Lodge nzuri Njiro Arusha

    Habari wanajamvi Ni lodge/ guesthouse gani nzuri Arusha maeneo ya njiro na karibu kwa budget ya 25-30k per night .
  8. K

    Tabia ya Warembo kuvuta bangi imetokea wapi?

    Huu utamaduni wa watoto wa kike kuvuta bangi umetokea wapi? Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na wadada warembo wa vyuo, wengine watumishi katika ofisi za umma na binafsi wanavuta sana bangi. Zamani tulizoea vijana wa kiume ndio walikuwa watumiaji wa bangi lakini hawa nao walionekana...
  9. K

    Uaminifu katika Biashara

    Mimi ni mkristo lakini nakiri kwamba wenzetu waislamu ni waaminifu zaidi unapofanya nao biashara. Naelewa uaminifu ni hulka binafsi ya mtu hata kule Zanzibar kuna matapeli wa Pemba wa TV na Fridge 😅. lakini unapofanya biashara na mkristo na muislamu ambaye kila mmoja anajitabanisha kuishika...
  10. K

    Uchafu kwenye masoko

    Nimetembelea masoko mbalimbali hapa Tanzania, hali ya Usafi kwakweli huwa sio nzuri, takataka, harufu mbaya, mitaro ya maji taka, vyoo vina hali mbaya . Kwanini watanzania hatuna utamaduni wa usafi. Masoko haya yana uongozi, bwana afya. Tustaarabike
  11. K

    The cure for chawacracy

    We must teach our children to politely say No when something isn’t right. Many millennials , Gen X and baby boomers ( wengi tupo makundi haya ) were raised to believe authority is infallible especially within families and obedience was unconditional. While this taught respect and order, it...
  12. K

    Mapato na matumizi

    Hivi karibuni nilipata fursa ya kukaa karibu na operators, mafundi ,drillers na madereva wanaofanya kazi kwenye kampuni za uchimbaji wa madini hapa nchini. Nilishangazwa kubaini kwamba wengi wao mishahara na marupurupu yao ni kati ya 3M mpaka 10M kila mwezi . Lakini maendeleo waliyonayo...
  13. K

    Michango ya harusi too much

    Wakuu hivi ni namna gani unaweza kuepuka kuchangia harusi hasa hawa wanoomba michango randomly kisa tu ulisoma naye unaamka unajikuta kwenye group na wengine wako na audacity unakuta hadi amount ya mchango ameshakujazia. Imenilazima kuweka private setting za WhatsApp nisiaddiwe kwenye magroup...
  14. K

    KERO Mateso katika mabasi ya mwendokasi

    Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi (BRT) jijini Dar es Salaam, hasa barabara ya Posta/Gerezani kwenda Kimara, uliwahi kuonekana kama suluhisho la uhakika kwa adha ya usafiri. Hata hivyo, hali halisi kwa sasa ni ya kusikitisha. Safari zimekuwa mateso, msongamano ni wa kutisha katika mabasi haya kiasi...
  15. K

    Mwenye nyumba yangu alipotea hata ndugu zake siwajui, sasa nimejenga kwangu, Je niendelee kupangisha?

    Kiherehere sio jambo zuri ndugu , kama huna maoni ni vyema ukatulia wanaoelewa waseme. Kila kitu mnaonaga chai tu
Back
Top Bottom