Recent content by Kinkajou

  1. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hiki Kitendawili cha "WAZIRI Mkuu Majaliwa kutogombea Ubunge" Ili "kuwapisha Vijana", kitateguliwa mbele ya safari

    Sasa kama waziri kaenda kuzindua jengo lilijegwa kwa mamilion ya pesa akatoa tamko kisifunguliwe takukuru wachunguze ila kesho yake jengo limefunguliwa linafanya kaz hata kama ni wewe utaendelea na hii serikali yaan pale alikua waziri mkuu kivuli mtendandaji alikua mwigulu
  2. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Kassim Majaliwa kwa jambo lipi?

    Simkumbuki kwa chochote zaid ya kukaa kimya akiona watu wakitekwa na kupotezwa kisa siasa kashindwa kutoa tamko lolote wakati ndo mtendandaji mkuu wa serikali
  3. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

    Mmeanza tena kama kipindi kile cha Tanzania ya Vi Wonder
  4. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Malori ya mizigo kurudi Dar tupu kutoka Mikoani ni hatari sana.

    Kiwandani kwetu mpaka sasa mzigo umeshindwa kutoka kwa sababu ya bei ya ushafirishaji kua juu ,tunazalisha ila mzigo hautoki
  5. Kinkajou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Looking for lifetime partner

    Im 29 jobless, pagan living mwanz but i have a dream too having educated patner like you
  6. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

    Dah ndo maana hua nasema kanisa zilipe kodi ni nyumb za biashr now days
  7. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa till ya mpesa

    Lain ya wakala wa mpesa
  8. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa till ya mpesa

    rejea mkuu jamaa alisepa na till cha ajabu bdo linapga kazi ila namb za jamaa hazpatikani
  9. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Makarani wa sensa, kuna nini kwenye zoezi hili?

    Shida inakuja kupeana kaz kwa kujuana watu weng wenye ueledi na kazi hawakupa nafasi etc unaweza usiwe na academic certs na ukafanya vzr zaidi ya mwenye anazo e.g msajili laini anaweza kufanya kazi kwa 100% next time serikal ichunguze kwa makini binafs sina academic certs kwa sababu mnakumbuka...
  10. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

    Hapo hakuna kesi uyo mchan yupo kituon usiku analala kwao kam uongo nenda kituon usiku kamchek ukimpata niite mbwa nko paleee
  11. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa till ya mpesa

    asante sana
  12. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa till ya mpesa

    sawa voda wataitaji nn? a
  13. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

    Batco safari code name KENYA Wanafanya safari ya mwanza-sirare poor customer care wanamajib ya ovyo sana na kukaripia wateja
  14. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa till ya mpesa

    Naombeni msaada au mwongozo tafadhali , mwaka 2019 nilimwajir rafk yang wa kijjn kwenye mpesa yangu hapo kijjn kwet nikaondok kwenda nje ya nchi ila cha ajabu mwaka huu mwez wa 4 wamefanya tukio kijjn kupelekea kutaftw na polis akaondok na kila kitu changu cha mpesa na lain bdo inatumik...
  15. Kinkajou

    JamiiForums Tanzania Wakristo na Waislamu ni watu waliopotea njia hasa kwa Afrika, kiufupi hawajielewi

    Kwa vitu vinavyotendeka kanisani naweza kubaliana na wewe
Back
Top Bottom