mwaya mi selew kabisa sijui haya mambo yana umri wake, maana mie nashangaa tu ipo ivo, kunitongoza ni kitu kingin na kumkubalia ni kingine, kulala nae nae pia ni another case
Haijawa kutokea wkanambia ati how much, huyu chotara alikuwa tupo taari kabsa kunipeleka kwao hukoo pangani na baadh ya nduguze alishawatamblisha kwamb mie shemijiw, lakini sikumuammini maana alikuwa umatemate kwa kila mwanamke nikampotezea..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.