mimi pia napenda kulima just give me guidance nitafutie namimi eneo nije mimi nimechoka kupokea mil moja kila siku kama take home. naweza kupata eneo nami nibadilishe maisha yangu napenda kulima sana na napenda kuwa mkulima mkubwa plse nisaidie. mimi hata 5 days a month naweza kukaa shamba...
huyo martha kiukweli ni mzuri sana hata kwa asiyetaka kusema atajivunga tuu kujifanya haoni lakini ukweli unabaki kuwa ule ule demu ni mkali noma plus sauti ndo kabisa anafunika mbaya. yutong kazana baba jikaze upate kumuoa. mtokee church
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.