next month utasikia miongon mwao wamekamatwa na madawa china hapo wapo kuwasapot mameneja wao wa uuzaji wa madawa con cha ajab hapo....... na wengne wamekaa tayar kwa mkao wa uuzaji hapo........
inaonesha we gongo unauzoef nayo mpaka na umezaliwa nayo unavyo penda kutaja huo ulikuwa uji wako enzi za utoto wako na chai ndio unayo tumia reply yang na gongo wapi na wapi kweli mi ccm aikilizenu ni mizigo..... buku 7 na div 5 plus unga
mh hapana bana kwa nyazfa alizo kuwa nazo mwakyembe we nenda jimbon kwake uone then ulete matokeo hapa yule jmaa anapenda cfa binafsi hana lolote jimbon kwake mie kama mwana kyela nimeona hili...
yan hata uwe mzee cjui kijana adhabu yako ni ileile zitto atolewe na akibaki huyu jamaa ntajua kwamba nako cdm kuna ufisadi mkubwa.... zitto jitoe mwenyewe cc wananchi tusha kuona hata kwa mikutano yako. kwamba nawe ni king'unzu wa maccm..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.