Recent content by king'unzumswati htc

  1. K

    Movie iliyowahi kukutoa machozi....

    kal ho nao nouma sana....
  2. K

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    dr.......slaa.....
  3. K

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    next month utasikia miongon mwao wamekamatwa na madawa china hapo wapo kuwasapot mameneja wao wa uuzaji wa madawa con cha ajab hapo....... na wengne wamekaa tayar kwa mkao wa uuzaji hapo........
  4. K

    Thamani ya Sugu na CHADEMA Mbeya yazidi kushuka kwa haraka

    inaonesha we gongo unauzoef nayo mpaka na umezaliwa nayo unavyo penda kutaja huo ulikuwa uji wako enzi za utoto wako na chai ndio unayo tumia reply yang na gongo wapi na wapi kweli mi ccm aikilizenu ni mizigo..... buku 7 na div 5 plus unga
  5. K

    Thamani ya Sugu na CHADEMA Mbeya yazidi kushuka kwa haraka

    wanataka pessa tu wavune chao mengine yafuatwe sugu ndiye kilakitu mby kama unabisha subiri....
  6. K

    Njombe sekondari yaungua jioni hii

    nenda kaulize...... na utupe pic.hapa...
  7. K

    Njombe sekondari yaungua jioni hii

    poleni sana njoc boy...kasa.fabian.seif na saka tupen taarifa.....
  8. K

    Njombe sekondari yaungua jioni hii

    dom 7 chumba cha scout...... vijana wanaotumikishwa na ila shule.....
  9. K

    Udhaifu wa CHADEMA Kyela kumrudisha Mwakyembe bungeni 2015

    mh hapana bana kwa nyazfa alizo kuwa nazo mwakyembe we nenda jimbon kwake uone then ulete matokeo hapa yule jmaa anapenda cfa binafsi hana lolote jimbon kwake mie kama mwana kyela nimeona hili...
  10. K

    Chadema kususia kuangalia TBC ni sawa na kususia kuona mwanga wa jua...

    sisi familia yetu ni waccm kasoro mimi ila taarifa za tbc hazina raha xo na huwaga hatuangalii sisi ni itv.startv n.k tbccm tupa kule....
  11. K

    CHADEMA; Tundu Lissu vipengele hivi vya katiba yenu vimezingatiwa?

    yan hata uwe mzee cjui kijana adhabu yako ni ileile zitto atolewe na akibaki huyu jamaa ntajua kwamba nako cdm kuna ufisadi mkubwa.... zitto jitoe mwenyewe cc wananchi tusha kuona hata kwa mikutano yako. kwamba nawe ni king'unzu wa maccm..
Back
Top Bottom