Recent content by kingunge wa jf

  1. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea Silent Ocean? Mzigo tokea Oktoba 2025 haujafika

    Nimepakiza mzigo wangu toka tarehe 10, October, 2025 kuto China 🇨🇳 kuja Tanzania lakini mpaka sasa mzigo haujafika. Kila ninapowasiliana na Agent na msafirishaji ambaye ni Silent Ocean naambiwa Kuna foleni bandari ilihali nilisafirisha mzigo mwingine kupitia kampuni tofauti ya GnmCargo lakini...
  2. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Biashara ya moja kwa moja kati ya Thailand na Tanzania

    Habari.. Mimi ni mjasiriamali ninayeanza kujitafuta, naomba kama kuna namna naweza kufanya biashara kati ya Thailand na Tanzania. Nimejaribu kufatilia business platforms za Thailand nimeona zipo restricted kwa matumizi ya ndani tu ama na nchi chache za jirani. Hivyo, kama kuna kampuni ya...
  3. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Kwa nini neno la kisukuma 'Nyanda' linatumika kwa Golikipa?

    Neno nyanda ni neno la kisukuma lenye maana ya mvulana. Je, ilikuwaje likawa linatumika kama jina la mlinda-mlango kwenye mpira wa miguu?
  4. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] samahani mkuu...
  5. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho

    Hili ni jambo la kusikitisha sana baada ya waalimu mkoani Mwanza kufanya mafunzo ya mtaala mpya bila Posho ya kujikimu wakiwa mafunzoni. Fikiria serikali inatekeleza jambo kubwa kama hili halafu unamtoa Mwalimu nje ya kituo chake cha kazj anahudhuria seminar bila Allawance yeyote? Kwa nini...
  6. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Fahamu aina za bearing, oil seal na fan belts

    jopelo
  7. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya kugomea fomu zangu. Je, nifanye nini?

    Asnt kaka
  8. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya kugomea fomu zangu. Je, nifanye nini?

    Ntafatilia mkuu nione nini cha kufanya..
  9. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya kugomea fomu zangu. Je, nifanye nini?

    Kwa sababu nipo kijijini sijaweza kupata mrejesho zaidi ila nimepigiwa simu tu nimeambiwa majina hayaendani
  10. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya kugomea fomu zangu. Je, nifanye nini?

    Naomba kujua Kama kuna mtu amewahi kukutana na hili jambo na je alifanya nini? Mimi ni mtumishi wa Umma ninayechangia bima ya Afya kama mtumishi. Nimejaza form za kuomba mzee wangu kuingizwa kwenye Bima ya afya lakini imeshindika kwa sababu ya kutofautiana majina na form yangu imerudishwa. Kwa...
  11. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Nini kinakwamisha kuongezeka kwa vituo vya Gesi asilia ya kwenye Magari?

    Naomba kufahamishwa sababu ya serikali kushindwa kuruhusu ujenzi wa vituo vya Gesi asilia kuenea nchi nzima. Nimeona wabunge wakilalamika bila kuadress issues haswa ni kwa nini Kuna vituo viwili tu vya Gas asilia ya kwenye magari nchi nzima ukizingatia matumizi yake ni cheap na Affordable kwa...
  12. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Nini kirefu cha herufi ya kati herufi G kwenye jina la Gadner G Habash?

    Nauliza krefu cha herufi G kwenye jina la marehemu Gadner G Habash na je hayo ndio majina yake halisi?
  13. kingunge wa jf

    JamiiForums Tanzania Ofisi za NIDA Ilemela na Nyamagana RUSHWA na usumbufu vimekithiri

    Week iliyoisha siku ya jumatatu nilikuwa nafatilia namba ya NIDA katika halmashauri ya Nyamagana. Nikaenda pale ofisi za NIDA nikaambiwa niwasubiri watumishi wameenda Kunywa Chai, nikasubiri mpaka saa 10 jioni walikuwa bado hawajarudi baadae nikaambiwa wameondoka nirudi kesho. Yarab! Niliporudi...
Back
Top Bottom