Recent content by kingundya

  1. kingundya

    JamiiForums Tanzania Heche Aache Janja Janja . Ajibu Mpaka Sasa Amepokea Kiasi Gani Cha Pesa Kupitia Akaunti yake Binafsi na Zipo Wapi?

    Luca wewe umewahi kuchanga pesa kwenye tonetone? Wanapochangisha huwa wanasema ni ya nini? Wachangiaji wao wanasemaje katika hili!
  2. kingundya

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Kwani hao jumuiya ya Madola wao wana ushawishi/mamlaka gani dhidi ya nchi wanachama....
  3. kingundya

    JamiiForums Tanzania Ngono mbaya!

    Wewe ulipatikanaje
  4. kingundya

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ina majeshi mangapi? Jeshi la Shehe Mwaipopo lipo kwa mujibu wa Katiba ipi?

    Shekhe? Mashekh wanasemaje hishma yao kugaragazwa namna hii? Au wametoa baraka juu yake huyu Mwaipopo
  5. kingundya

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Kwani katika maelelezo yake amezungumzia hili au unamuanza tu
  6. kingundya

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

    Unawezakuta tunatumia lodge moja kuchepuka bahati mbaya akaona jina langu akiwa kwenye kujiandikisha...sijui itakuwaje
  7. kingundya

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

    Hii imeturamba Ila amezungumzia wageni wanaoingia kwenye mikoa...mfano Mimi ni wa hapahapa Uvinza hiyo hainihusu
  8. kingundya

    JamiiForums Tanzania Makonda: Tanzania ndiyo Baba na Mama wa demokrasia Afrika

    Neno linatumika vibaya
  9. kingundya

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Hisia ikizidi akili ya kawaida lazima mtu atakuwa na maamuzi ya kijingajinga tu wakati wote. Mara nyingi wanawake hufanya maamuzi au kutoa maamuzi Kwa kuzingatia wakati uliopo
  10. kingundya

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Huwenda babaake alimtapeli mamaake pia. Wanawake wengi siku hizi wamekuwa na matarajio makubwa Sana na wababa wanaokuwa nao sasa mambo ya kuingiza yakiisha basi mwanaume anakuwa tapeli
  11. kingundya

    JamiiForums Tanzania Shida ni Pikipiki au Udereva?

    Hakika Labda kama unazungumzia hapo ulipo wewe Tu ndio inaweza kuwa mwezi ila kama ni Tanzania nzima aise watu wa pikipiki wanakufa Sana...... Wengi wao ni namna yanavyoenda nazo ni kama wamezoea Sana au labda ni kama wanawaza kuwa upo ufufuo
  12. kingundya

    JamiiForums Tanzania Historia ya Majini

    Kwahiyo majini nao Wana dini
  13. kingundya

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia: Nimeliponya Taifa kwa kuanzisha Wizara ya Vijana na kuwaachia huru watuhumiwa wa kesi ya Uhaini

    Sisi tuonao hivi na wao waonao vile Nani wapo sahihi? Ikiwa kila mtu atabaki na muono wake basi kuliponya hili Taifa labda iwe Kwa msaada wa watu wa marekani
Back
Top Bottom