Recent content by kingundya

  1. kingundya

    JamiiForums Tanzania Historia ya Majini

    Kwahiyo majini nao Wana dini
  2. kingundya

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia: Nimeliponya Taifa kwa kuanzisha Wizara ya Vijana na kuwaachia huru watuhumiwa wa kesi ya Uhaini

    Sisi tuonao hivi na wao waonao vile Nani wapo sahihi? Ikiwa kila mtu atabaki na muono wake basi kuliponya hili Taifa labda iwe Kwa msaada wa watu wa marekani
  3. kingundya

    JamiiForums Tanzania Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Mfano wewe ulimtegemea kwenye lipi
  4. kingundya

    JamiiForums Tanzania Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Ilivyo imani na waaminio imani hiyo wanasema Mungu ni mkamilifu nae karuhusu mengine mengi pamoja na uliyoyataja ili tu viumbe wake hasa sisi binadamu tumkumbuke na kumtegemeq yeye.
  5. kingundya

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya kuua mamia kwa maelfu mnataka maridhiano. Mnataka turidhiane nini na nani?

    Chauma ACT Kunje Doyo Maridhiano Wengine hawa kama ambavyo polisi wameona kuwa ni watuhumiwa wa Uhaini Ugaidi
  6. kingundya

    JamiiForums Tanzania Nahisi kila mtu ameanza kugundua kuwa Mungu hayupo

    Kiumbe? Mungu sio kiumbe
  7. kingundya

    JamiiForums Tanzania Mkoa upi ulikinukisha kisawa sawa, tupe top 5 yako

    Ni watu 31,900,000/- taslimu
  8. kingundya

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tarehe 29, Oktoba kidogo iwe siku ngumu kwangu. Niliponea chupu chupu kukandwa na waandamanaji. Sitorudia

    Ukitaka kumua ........... mpe jina bayq
  9. kingundya

    JamiiForums Tanzania GE2025 Waangalizi SADC: Uchaguzi Mkuu wa Tanzania haukuwa HURU wala wa HAKI

    Kwa nchi kama yetu ambayo ni kinara wa amani hao watu hawana nafasi
Back
Top Bottom