Sisi tuonao hivi na wao waonao vile Nani wapo sahihi? Ikiwa kila mtu atabaki na muono wake basi kuliponya hili Taifa labda iwe Kwa msaada wa watu wa marekani
Ilivyo imani na waaminio imani hiyo wanasema Mungu ni mkamilifu nae karuhusu mengine mengi pamoja na uliyoyataja ili tu viumbe wake hasa sisi binadamu tumkumbuke na kumtegemeq yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.