Recent content by kingsize8

  1. K

    Prof. Jay amnyima usingizi Abdusalama Amer jimbo la Mikumi

    hili li fisi linalojita msalani limetokea wapi na picha za edit??
  2. K

    Natafuta mume wa kunioa tafadhali

    weka mawasiliano nikupigie. Au piga 0652050720 tuongee
  3. K

    Mbunge mwenye elimu ndogo kuliko wote Tanzania

    chunga sana wewe, sugu form six na sasa anasoma uingereza
  4. K

    Mbunge mwenye elimu ndogo kuliko wote Tanzania

    acheni mambo ya kijinga, form 4 unaajiriwa BOT?
  5. K

    Cocacola: Resident account developer ( sales representative)

    haki ya mungu ninyi mazuzu kweli duh...!! Bora hata masawe na kiwewe
  6. K

    MSD medical store

    Acha uongo ww, MSD ni store to na waajiriwa wengi ni store keepers, accountants, suppliers, na hao wa medicine
  7. K

    MSD medical store

    Msd full bias, hata mimi nilijaribu post ya account, mwisho wa siku undugulization ulitake place.
  8. K

    Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    Mxoooonyoo!! Shabashi!!
  9. K

    Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    unaelewa kweli ulichopost ni haramu???
  10. K

    Diamond aachia wimbo mpya: Nitampata Wapi? - Nov 20, 2014

    True say man, he is a legend right now!!
  11. K

    Kati ya prof. Lipumba, James Mbatia na dk Slaa nani anafaa kupeperusha bendera ya UKAWA

    UKAWA hawatabiriki, ila mimi nahisi watamsimamisha ZITTO ZUBERI KABWE awe ndiye mgombea.
  12. K

    Kwanini wanawake wa kizungu wanawapenda Wanaume MaRasta?

    sisi marastafarian kwanza tuko real, natural, na hata life style yetu inawavutia sana wanawake wa kila aina. Ulishawahi kumwona mwanamke ambae yuko real anatembea na masharobaro? Hata ukimtazama rasta man macho na uso wake ni kama unatazamana na simba. Ninadeclare interest, mwanamke wangu ni mzungu!
Back
Top Bottom