Recent content by kingsami

  1. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza mashine yangu ya kutengeneza sabuni za miche

    Million 5 maongezi yapo mkuu
  2. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza mashine yangu ya kutengeneza sabuni za miche

    Nauza mashine ya kutengeneza sabuni za miche iko complete na mixer ya lita 100 inafaaa kwa uwekezaji WA kiwanda kidogo.
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    We jamaa Una Umri gani?
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

    introvert ya nyoko
  5. K

    JamiiForums Tanzania Marekani, Uingereza waungana kuonyesha wasiwasi wao juu ya hali ya Utoaji Haki nchini

    Kweli kabisa mkuu Jinsi walivyo angaika na hii issue Wanajipalia mkaa baadae
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kitu gani Tanzania kina perform kwa ubora wa hali ya juu sana? Tufahamishane!

    Kuunga Mkono Juhudi za Mtukufu
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

    Mkuu Oa mwanafunzi kama unamashaka na mwalimu
  8. K

    JamiiForums Tanzania Sweden imekasirishwa kuona Tanzania ikipokea maelfu ya watalii kutoka China?

    Mkuu Watalii wa kichina wanachukiwa duniani kote kutokana na tabia zao. kwanza ni cheap tourist wanatembea makundi makundi na kila kundi ni kuanzia watu 40 kwenda juu kiasi huleta tabu na misongamano kwa wenyeji wa miji walio tembelea, kikubwa zaidi ni tabia za kujisaidia ajakubwa na ndogo...
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo kwenye utumwa wa mapenzi wa kujitakia, naomba ushauri

    Mkuu Ijumaa sio Mbali vumilia endelea kula papuchi
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samsung Galaxy A8 vs iPhone 6+

    Mkuu A6+ uwezi kuilinganisha na A8 uliza au angalia specification za A6+ na A8
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samsung Galaxy A8 vs iPhone 6+

    Njoo nikuuzie galaxy A6+ ya 2018 check link kwa specification zake https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_a6+_(2018)-9156.php
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika Kutongoza, tuambiane tu ukweli kaka zangu. Bila chuki wala nini mna fail sana

    Mkuu mtu anatongozwa kwa stutus yake. Ukiona watu wanataka wakuvute mkono wakajipigie ujue ndio stutus yako iyo Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulimbukeni wa ndoa

    Mkuu Fanya iwe homework yako. Ukinipa kifungu cha biblia laki inakuhusu mchana kweupe Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulimbukeni wa ndoa

    Mkuu wapi biblia inazuia mwanaume kuwa na mwanamke mwingine zaidi. Ukinipa icho kifungu wallaah nakupa laki moja Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom