Recent content by kingsami

  1. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    We jamaa Una Umri gani?
  2. K

    Marekani, Uingereza waungana kuonyesha wasiwasi wao juu ya hali ya Utoaji Haki nchini

    Kweli kabisa mkuu Jinsi walivyo angaika na hii issue Wanajipalia mkaa baadae
  3. K

    Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

    Mkuu Oa mwanafunzi kama unamashaka na mwalimu
  4. K

    Sweden imekasirishwa kuona Tanzania ikipokea maelfu ya watalii kutoka China?

    Mkuu Watalii wa kichina wanachukiwa duniani kote kutokana na tabia zao. kwanza ni cheap tourist wanatembea makundi makundi na kila kundi ni kuanzia watu 40 kwenda juu kiasi huleta tabu na misongamano kwa wenyeji wa miji walio tembelea, kikubwa zaidi ni tabia za kujisaidia ajakubwa na ndogo...
  5. K

    Nipo kwenye utumwa wa mapenzi wa kujitakia, naomba ushauri

    Mkuu Ijumaa sio Mbali vumilia endelea kula papuchi
  6. K

    Samsung Galaxy A8 vs iPhone 6+

    Mkuu A6+ uwezi kuilinganisha na A8 uliza au angalia specification za A6+ na A8
  7. K

    Samsung Galaxy A8 vs iPhone 6+

    Njoo nikuuzie galaxy A6+ ya 2018 check link kwa specification zake https://www.gsmarena.com/samsung_galaxy_a6+_(2018)-9156.php
  8. K

    Katika Kutongoza, tuambiane tu ukweli kaka zangu. Bila chuki wala nini mna fail sana

    Mkuu mtu anatongozwa kwa stutus yake. Ukiona watu wanataka wakuvute mkono wakajipigie ujue ndio stutus yako iyo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Ulimbukeni wa ndoa

    Mkuu Fanya iwe homework yako. Ukinipa kifungu cha biblia laki inakuhusu mchana kweupe Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Ulimbukeni wa ndoa

    Mkuu wapi biblia inazuia mwanaume kuwa na mwanamke mwingine zaidi. Ukinipa icho kifungu wallaah nakupa laki moja Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Hatuko pokee yetu katika Ulimwengu Huu

    Kama havionekani kwa macho wewe umetumia matako kuviona? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom