Recent content by kingphisher

  1. kingphisher

    CAG: Deni la Serikali ni Tsh. Trilioni 110, ndani ya mwaka limeongezeka kwa Tsh. Trilioni 12

    Kama wanaprint, kwa nini wakope? Si waprint wafanyie mambo yao ili washingie kwenye made ni ya ajabu yatakayosababisha rasilimali za taifa kuchukuliwa baada ya kushindwa kulipa
  2. kingphisher

    Umuhimu wa Advanced Excel katika uchambuzi wa taarifa ofisini

    Wakuu, husika na mada tajwa hapo juu, naomba mnisikilize kidogo. Nimehitimu masomo yangu mwaka 2024 katika fani ya IT in Business. Baada ya hapo nilipata nafasi ya kufanya kazi katika kampuni moja iliyopo Posta, ambapo nafanya kazi kama Consultant pamoja na Data Analyst. Pia ninashiriki...
  3. kingphisher

    Jinsi gani ya kuwa Data Analyst

    AI ni kama chakula, kitajaza tumbo, lakini sehemu ya maji haikosekani.
  4. kingphisher

    Jinsi gani ya kuwa Data Analyst

    Nasoma Online, sio from zero, bali nina knowledge toka chuo mkuu. saivi naongeza tu skills.
  5. kingphisher

    DOKEZO Kidato cha kwanza shule ya Sekondari Nyamtinga wilayani Rorya wanalazimishwa kwenda na meza na viti vya chuma

    Wakuu habarini za wakati huu, kuna swala limenishtua sana, na sidhani kama ni jambo la kulifumbia macho kwa serikali. Suala la Elimu hasa maeneo ya vijijini limetupiwa mgongo na serikali. Shule ya sekondari Nyamtinga yenye namba ya usajili S5238 iliyopo mkoa wa mara, wilaya Rorya kata ya...
  6. kingphisher

    Zungu: Jaji Warioba kuongea hadharani ni kuzua taharuki

    Akili I ikiganda vizuri, inaweza ikapoza hata freezer inayopoza vimiminika. Akili hizi huzipati popote isipokuwa ccm
  7. kingphisher

    Ninunue feni(fan) au A.C

    Air Cooler si ndo kirefu cha neno A.C mimi siulizii Air conditioner, naulizia Air Cooler, ndo nauliza, air cooler inafaa kwenye chumba kimoja cha kupanga?, na hiyo budget yangu ya 150k, naweza kupata aircooler?
  8. kingphisher

    Ninunue feni(fan) au A.C

    🤣🤣🤣naishiwa pawa na energy
  9. kingphisher

    Ninunue feni(fan) au A.C

    ndiyo mkuu. namaanisha AirCooler (AC)
  10. kingphisher

    Ninunue feni(fan) au A.C

    sawa mkuu, maana kuna hii hapa chini, jamaa anauza 1 zile za laki 8 ndo zinakula umeme
  11. kingphisher

    Ninunue feni(fan) au A.C

    inauzwa 18,000?
  12. kingphisher

    Ninunue feni(fan) au A.C

    Wakuu nina budget ya 150000, baada ya feni yangu niliyokuwa natumia kuharibika, nikapata idea ya mini A.C. kuna baadhi ya A.C naona zinauzwa, yaani zile A.C ndogo za kusimama. Naomba mtu yeyote anayeitumia aniambie kama kweli inafaa. je, inaweza kumudu hili joto la Dar, au ninunue tu feni...
  13. kingphisher

    JE, HUWA UNAZINGATIA NINI UKITAKA KUNUNUA SUBWOOFER(SABUFA)

    Mkuu Nikatoka hapo nikaenda kwa jirani yake hapo hapo, nikakuta radio ya alitop, distortion ya 0.2, frequency ya 20Hz-200KHz, na output powe ni watr 80. Halafu ina speaker 2 tu nikamwambia jamaa nipe hii, bei ilikuwa 200K. Woote pale walinishangaa kwa kuacha speaker 5 na kuchukua speaker 2...
Back
Top Bottom