Suala la msingi ni ww kufanya maamuzi magumu ya kuwatimua hao wakwe zako warudi kijijini walipotokea ila sio kum cheat mke wako kisa wazazi wake wameongeza mzigo kwenye familia yako huo ni utoto..BE A MAN AND DEAL WITH IT LIKE A MAN!!!
mimi nimemaliza chuo mwaka 2012 mpaka sasa sijapata ajira ya kudumu zaidi nlipata kazi ya temporary katika shirika moja la umma tangu mwaka 2012 mpaka mwaka huu mwezi wa 4 nlipositishiwa mkataba.nina mtoto mmoja mwenye umri wa miezi mi4 na kazi ndo sina kwa sasa na hata la kufanya sina maana...
nisaidieni jaman kuna vitu nliviona ebay na nlikua interest kununua ila ckua najua procedures na nini haswa kinatakiwa ili kununua vitu pale.so kwa mlio wahi nunua mnaeza nsaidia nkapata kujua na pia kwa wengine wasiojua wakapata kuja pia.
hellow,kwa wale wenzangu waliosoma public administration na human resources,mimi nlituma cv yangu nkabahatika kupata kazi kama sales executive..na sasa zimetoka nafasi za watu wa administration so kwa wataokua interested wanaweza kutuma cv zao kwenye hii email.farmflowers255@gmail.com,kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.