Well said mkuu.Mtu ahukumiwe kutokana na makosa yake na wala si dini yake.Tujifunze kuweka udin pembeni na masuala ya ukanda na mambo mengine yanayoweza kutugawa kwenye masuala nyeti yakitaifa.Mwenyezi Mungu atujalie hekima na maarifa.
Poleni sana!!bado mna practice cheap politics!!badala ya kukaa na kujitafakar mmefikaje hapo bado hamjajitambua!!siku mkija kuujua ukwel itakuwa too late sana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.