Miaka yako na kilo ni inverse proportion labda kama height yako ni ndogo but tatizo ulilonalo linaanzia kwenye brain kwa haraka haraka inaonekana unapendelea sana wanawake wanene
Chakufanya na kikakusaidia kwanza ni mazoezi diet(ndizi,vitunguu swaumu,tangawizi)asubui na jioni and jaribu...
Bro degree hasa ya uhasibu kuisoma si vibaya changamoto ni ajira cha kukushaur fanya kazi zote mbili garage na uhasibu then unakua na plan A andB ajira za ao maboss zakijinga sana mda wwote unapoteza ajira lkn ufund ni mali yako mpk kufa alafu ukishapata pesa utaenda kusoma tu lkn kama familia...
Chamuimu bro sio kuachana nae ila kuzungumza nae vzur uwez achana na mtu pasipo ushaid jiulize utaachana na wangapi ndugu yangu amna kinachoshndkana kwenye mazngumzo na unaashiria kbsa bado unampenda
Mimi nadhani hamkuelewa kauli ya katibu na tatizo letu watanzania kila kauli kutoka ccm uwa tunaichukulia kipinzani naomba ukasikilize tena maana Juma kaparatu aliomba katibu aweke sawa maelezo na aliongea vizur usipotoshe uma
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.