wakuu kwema
Naombeni msaada wa kimawazo
Kuna mwanamke nampenda sana huu ni mwez wa 3 nipo nae kwenye mahusiano.
Kabla sijaanza nae mahusiano niliwah kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya nyuma akanijibu alikuw na mtu ila aliamua kumuacha kisha akamblock sehemu zote kwa madai huyo ex boyfriend...
wakuu kwema
natumain mko salama kabisa
Ninachangamoto kubwa hapa imetokea naombeni ushauri .
Nilikuw na mahusiano na binti mmoja ivi alitokea kunielewa ana miaka 18 basi tukajikuta tupo kwenye mahusiano na tukapendana sana tatzo lilikuja baada ya kugundua ni mwanafunzi na yupo kidato cha...
wakuu kwema nataka ninunue samsung note 20ultra used ila nikiwasha inaandika galaxy tu tofauti na samsung nilizozoea ukiwasha inaandika samsung na maandishi mengne mfano galaxy a20.
je hiyo ni copy au org.pia naomba mnifafanulie nawezaje kuigundua kama ni org au feki,
NB:nimewah kaaa nayo...
wakuu kuna zile radio cassette za zaman zimeandikwa SONY WATT300 (kama sikosei) kwa nyuma zilikuw zinakaa battery za tiger 16
hakuna mahali naweza kuipata maana mziki wa mule nlikuw naukubal kinyama niliuelewa sana ule mtambo nilichokifanya nilimdanganya mzee wangu nikamnunulia seapeano then mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.