Habari wana janmvi
natumaini hatujambo, poleni kwa mnaojisikia vibaya na wale wenzangu ambao sikukuu imeawaacha vibaya!
Lakini wakati huo sisi tunapendeza, tunakula vizuri na kuenjoy huku mtaani wengine hawana hizo furaha kabisa!
Kuna Dada mmoja ambae amekuwa akinisumbua siku nyingi...
alikuwa mpenzi wangu miaka miwili iliyopita, akanitosa nikaendelea na maisha yangu Mungu si adhumani Jamaa kamvuruga akamzalisha mtoto mmoja akampiga chini,
karudi kwao kanikuta mi nipo tu sijaoa japo ninamrembo Wang tu bado tuna malengo!
tatizo anasumbua kuniomba msamaha kila siku...
1.Tecno p3 imetumika miezi 4 bei 90,000/=
2. Nokia Asha 200 imetumika miezi 6 bei 55000/=
bahati mbaya picha zimegoma kuapload
nipo Dar maeneo ya mbagala nitafute no. 0714138846
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.