Mkuu ujaelewa wapi si umeambiwa namba yako hiyo inayoishia 22 imehuishwa kikamilifu. Kuhuisha ni the same na " to make thing alive" yaweza hiyo namba ilikua inactive
Habari wana JF, Nawezaje kuiset simu pixel 3xl iweze kutumia laini mbili zote ziwe active at the same time msaada tafadhali. Tayari nimeshajisajili na airtel e_sim ila shida ndio hio.
Ulitakiwa ujue iko kigezo kabla huja apply mkuu, May be umeangalia entry requirements pekee kumbe kuna vigezo vingine ulitaliwa uvijue. Swali je wapo ambao wamemaliza kabla ya 2018 wakapata??
Tv yangu haina sehem ya kuset Random video playing From flash drive. Ni vipi naweza kuipata hiyo huduma.Mp3 iko poa ila Mp4 zinaplay in order(from a to z) nahitaji zipige randomly ila hio option haipo. What can i do? TV ni ya Samsung ya kawaida sio smart.
Kipato cha mwanamke kukifanya kua cha familia kwa lazima km unavyodai itakua ngumu maana akikushtaki sidhani km utamshinda.njia nyepesi ya kuziishi principle zako ni kuoa ambae hajishughulishi na chochote(mama wa nyumbani/kuku wa kienyeji) ila sio hawa wa kuvaa mawigi na kubandika kucha ndefu...
Hiko unachopinga ndio nature yako. Mwanamke ni wakuhudumiwa na mumewe. Mwanamke hajaumbwa kukuhudumia wewe basic needs tofauti na Sex.Ndio maana hata mahari unatoa wewe.kutaka ulelewe na mwanamke ni kuukimbia uanaume wako sasa sjui itakuaje.Inafaa usioe km hauna uwezo wa kumhudumia.kuna tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.