Recent content by KingGuaje

  1. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu: Hatuwezi kuandika Katiba Mpya kila mtu ameshika jiwe mkononi, rasimu ya Warioba haijachomwa ipo kwenye ilani

    hivi mmestuka kuwa sikuhizi viongozi wanaongea kwa staha na tahadhari?
  2. K

    JamiiForums Tanzania POV: Kama Internet isingezimwa Oktoba 29 tungezungumza mengine

    Wasalam, Ni asilimia chache sana ya Watanzania including Mange mwenyewe aliamini kama kuna watanzania watatoka 29 Oct. Kulikua kuna kundi kubwa la vijana lilokuwa linaongezeka kila dk. Kwa trending ile kama sio serikali kuzima internet tungezungumza mengine. Kukatwa kwa internet kuliwaathiri...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je, ajira mpya zaidi ya elfu 17 zilizotangazwa na Serikali ni kupunguza vuguvugu la vijana kuelekea uchaguzi mkuu?

    Haha na hamtaweza kulogin hadi tarehe 29 na ndio itakua deadline
  4. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, na pesa ya ukarabati Uwanja wa Taifa imepigwa we upo tu?

    ..hakuna ukarabati wa miaka miwili kamwe , na hakuna ukarabati unaendelea pale kwa mkapa ni geresha tu .
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kuna uhaba wa mabasi ya mwendokasi halafu tunaona CCM mnashusha mabasi mapya ya chama, kuweni na aibu

    Nchi ambayo mwananchi anaogopa akikosoa atatekwa, nchi ambayo wasanii wanahisi usipo nyenyekea na kusifa gavoo hutoboi , nchi ambayo mpira wa miguu umeingiliwa na siasa na kua mtaji kwa wanasiasa .. nchi ambayo kusifia ni ajira na unapata umaarufu kwa kuitwa chawa…haya mambo sio ya kushangaa...
  6. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

    As a girl ,you can’t avoid Penis
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tabora: Askari TFS matatani kusababisha kifo cha mwanafunzi wa awali

    Askari wa vyombo vyetu wanachangamoto ya jinsi ya kutuliza ghasia za raia wasiokua na silaha . Kila ghasia hata kama ni ndogo kiasi gani inaohusisha vyombo hivi na raia lazima kutokee vifo .Utasikii risasi ilipigwa juu ikampata bahati mbaya au katika harakati za kuokoa maisha yake akampiga...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Hatimaye FRELIMO iko matatani, mwisho wake umefika!

    Jana na leo maandamano yamechukua sura mpya vituo vya polisi vingi vimechomwa moto na sasa polisi wanaonekana kutii maagizo ya wananchi . It’s clear the end of Frelimo regime
  9. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

    Kifo ni tukio pekee linalotukumbusha juu ya udogo wetu mbele za Mungu. Innah lillah wainah lillah rajiiun
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mitego ya Rais ya kununua Magoli iwakamate wajinga wa hili Taifa tu. Mimi siwezi kamatwa kamwe

    Lengo sio baya ila kwa Level za simba na Yanga nadhani ingekua busara kuanzia hatua ya mtoano ..Azam na hasa hasa Coast kwa hatua za awali ni sahihi mana ingewapa hamasa zaidi ya kuenda hatua inayofata …simba na yanga hawahitaji tena hamna katika hatua za awali.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

    Tanzania ya sasa kama hauna wadhifa au watu wenye wadhifa waka kutetea you’re nothing, afande akichukuliwa mume anakodisha watu wakalawiti, waziri anatuhumiwa kukodisha watu wakaingizie mtu chupsa, mkuu wa wilaya anatuhumiwa kulawiti sasa kila mtu mwenye nafasi ya juu akiamua kufanya hivi what’s...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa jinsi ya kufika Chanika kutokea Mbezi Beach usafiri wa daladala

    Habari wakuu, Naomba kujuzwa kwa mtu aliye Mbezi Beach shule anafikaje Chanika mwisho kwa usafiri wa daladala . Option ya Bolt inaleta mpunga mrefu kidogo 52k
Back
Top Bottom