Recent content by KINGERNEST

  1. K

    kupenda ulipo pendwa nilaha jamen ila kupenda uspo pendwa ni shidaa

    jamen ndugu zangu mi sijielewi kama ninapendwa au sipendwi ila nimechoshwa natabia hizi hapa nisaidien nifanyaje, dem wangu nikipiga cm mda naotaka mim tuongee ataki pokea eti mpaka yeye anitafute nikimuulza sababu nying xana nikiwa mkari ananitishia kuachana inafika hatua nasema basi...
  2. K

    Kukata kiuno wakati wa tendo la ndoa kwa mwanamke

    yani ni buuuuurudan mwanzo mwsho.
  3. K

    Nimedokezwa na jirani kuwa mume wangu anatembea na mdogo wangu. Nianzie wapi?

    daaa,kwanza pole xana kwa habari mbaya,fanya uchunguz kwanza kabla ujachukua hatua jioji moyoni mwako ukigundua nikweli ufanye nin ukitumia busala katika fikra zako na imani utapata jibu lilo sahihi siwezi kukuambia ufanye nin coz hilo jambo siyo la kawaida kwaiyo anza kupanga mwenyewe maamuz...
  4. K

    Utajuaje kama mpenzi wako ametoka kugegeda au kugegedwa?

    Hali ya siku iyo itakuwa nyingne sikama ulivyo mzoea utasikia anasingzia uchovu ohoo mara sijisikii vizuri vijisababu vitakuwa vng na avina maana yeyote na atakuwa anajishitukia kwakila jambo analo ongea kwakifup atakuwa hayupo sawa
  5. K

    Trafiki agongwa na gari Morogoro

    matrafiki weng tamaa ya pesa inawaponza awataki kupitwa daaaaa, huruma kwake kama alkuwa kwenye haki mungu atamjaria
  6. K

    Wanawake wa kuoa

    aisee wasukuma wapo bomba ileile wana heshima ya hali yajuu
  7. K

    Denda limeniponza

    uyo dem ulikuwa umekaa naye sikungapi katika mausiano? mpaka ushindwe kumtambua anamapengo kwamaana sirahisi mtu kutomfaham mpenz wake hasa katika maumbire ya usoni
  8. K

    Hii ni tabia mbaya kwenye mahusiano

    daah! ma ukweli tupu kuanzia leo ni hi ya mdomon tu, atake asitake.
Back
Top Bottom