Recent content by kingdon

  1. kingdon

    Waziri wa Masauni, waziri wa mambo ya ndani na IGP tunaomba mjiuzulu ili kulinda heshima zenu

    Me ninachojua ile press ya mbowe kusema wanawatu wanawapa taarifa watu wao wakitekwa wanapelekwa wap ma majina anayo atawataja wanaowateka na ukizingatia mzee kibao alikuwa JWTZ tena nasikia kitengo cha MI apo alikuwa tayar kauza ramani ya vita
  2. kingdon

    UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

    Kila kitu ni vile wewe unavyoamin me naamini kila litokealo duniani ni mungu kapema sio sayar wala chombo chochote kile duniani thuts all
  3. kingdon

    Msaada: Jinsi ya kufanya ukumbi uwe na giza wakati wa mchana

    Funga milango na madilisha then funga AC umemaliza
  4. kingdon

    Binti mwenye gauni jekundu nimempenda

    atakuwa alivaa kanga mbili uyo saa sita:D:D:D
  5. kingdon

    Sauti Kubwa: Magufuli anatumia uwanja wa ndege Chato “kupiga dili”?

    hakuna sehemu au engineering field sehemu inayosema lami inaitwa sealing course mkuu ila kuna re-seal means kuziba sehemu zenye cracks kwenye lami,lami inaitwa bitumen ila unaweza ikawa pre mix hot or cold inaitwa asphalt ambayo inachanganywa na coarse and fine aggregate kwa pamoja au surface...
  6. kingdon

    Nataka nifanye ngono na huyu mmama je mnanishauri vipi?

    umenikumbusha mbaliii sana enzi izo niko na strabag tunajenga lami ushirombo nimekula watoto apo wadutya kama sina akili nzuri.
  7. kingdon

    Jokate atoa ya moyoni

    me nilikuwa shabiki sana wa ali kiba ila toka siku ile nilimuona mjinga tu ata km haumutaki mtu au mmeachana kuna lugha nzuri ya kuongea kwenye media,akumbuke na mwenzie ana moyo na aibu pia
  8. kingdon

    Milton Mahanga: RC Makonda jisafishe na kashfa hii au jiuzulu

    nasikia ata mtukufu PHD yake inamashaka
  9. kingdon

    Mke wangu kanihamishia familia yake yote kwangu

    aisee ni shida nimemuita mbele ya ndugu zake kwamba hari ni ngumu nawapa week wawe wameondoka abaki anaesoma,anadai kwann abaki anaesoma me nae kuna nn basi nimemwambia waondoke wote ata walioenda kwenye nyumba kule anajiliza me nampimia
  10. kingdon

    Mke wangu kanihamishia familia yake yote kwangu

    ndo nimefika nikamuuliza binti wa chuo wenzako wakowapi napewa majibu ayo wife hajafika bado namsubili anipe maelezo ya kina
  11. kingdon

    Mke wangu kanihamishia familia yake yote kwangu

    nimeingia home mda huu eti wale wawili wameenda kukaa kule kwenye nyumba yetu na yule kijana ambayo iko finishing ye hajarud nataka nimuulize nan atakuwa anawahudumia kule au pesa ninayoachwa itakuwa inagawanwa au wanataka kuchukua iyo nyumba ambayo iko kwenye finishing stage
  12. kingdon

    Mke wangu kanihamishia familia yake yote kwangu

    sawa bro apa ndo natoka job mlejesho mtaupata kabla ya trump kuapishwa nawashukuru wote mungu awabariki
Back
Top Bottom