Recent content by King_mwanamalundi

  1. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania TKZ2025: FURSA ZA AJIRA

    Mbona bidhaa haziorodheshwi?
  2. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania Atheists, leo mtajua hamjui. Jibuni haya maswali—mkishindwa, msilete tena hapa nyuzi za kuhoji uwepo wa Mungu

    Kuna post #66 imekusubiri naona unaipita tu kama unaaga maiti. Endelea kujiongelesha.
  3. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Kuwadharau Watumishi wa Mungu

    Siwezi heshimu mtu wa aina hii mimi. Hizo laana acha zije tu.
  4. King_mwanamalundi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

    Ujinga wakati wa kwenda tu mkuu. We ungelipia?
  5. King_mwanamalundi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

    Kuna Dem lilinipiga tukio sitasahau. Hiyo siku ilinibadilisha sana kwenye ulimwengu wa kubetuana.😁😁😁😁 Kuna dem nililipata (usiulize nililipataje). Nikalipanga,likasema kama vip ibuka nilipo, "uko wapi?" Kijiwe samri. Mimi huyooo, asubuhi asubuhi tu,ngoma 4+, siku ndo inaanza. Sijaingiza hata...
  6. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    Unaongea nadharia zenye fallacies kibao. Ukiambiwa umeongea pumba,badala ya kuthibitisha sio pumba ni mchele, unaleta pumba zingine tena. Unaweza kueleza vizuri tu nadharia yako watu wakaelewa bila dharau na dhihaka. Ila kwa kuwa huwezi,sishangai kujibu ujinga uliojibu.
  7. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    Hizo positive attitude na growth mindset unazipimaje! Au kwa kufeli na kufanikiwa? Mimi nadhani ifike pahara muwe mnamtetea huyo mungu bila kutengeneza assumptions. Au kama hamuwezi bora mkae kimya.
  8. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

    Ona hili jinga
  9. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

    Hizo nyanya yeye anapewa bure?
  10. King_mwanamalundi

    JamiiForums Tanzania 7 natural laws of business

    Damu ya chale haina kazi yoyote nje ya kutafuta channel za kupeleka dawa mwilini. Ni unachanjwa chale,unapakwa dawa na biashara inaishia hapo. Na dawa unayopakwa ni kwa ajili ya kinga tu.
  11. King_mwanamalundi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yaagiza Polisi kuwaachia au kuwafikisha Mahakamani wanaodaiwa kutekwa, pia yaagiza IGP afike Mahakamani leo Desemba 31, 2024

    Majirani wapo serious sana kwenye serious issues.
Back
Top Bottom