Chanjo zimerudi kwa kasi kama hazina akili nzuri, hatujatulia mchele wenye virutubisho nao huo so kupanga ni kuchagua ila kiuhalisia tunajiangamiza sisi wenye kwa kuendekeza umasikini, suala la watoto kula vyakula vyenye virutubisho ni suala la elimu zaidi sio la kimsaada halafu kesho tuje...
Usigeneralize mzee, walioingia kichwa kichwa hilo ni wao ila binafsi nilikataa tangu mwanzo kwamba tutakuja kulia na ndicho kilichotokea watu walikuwa na expections kubwa tofauti na uhalisia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.