Msajili wa vyama vya siasa unafanya kazi nzuri ya kuweka mafuta ya petroli karibu na moto lakini kumbuka dhamana uliyo nayo ipo inapita, kheri jitunzie afya ya heshima kwa taifa lako kuliko unako lipeleka Taifa wewe kama msajili wa vyama vya kisiasa.
Natumaini ukweli utajulikana juu ya sakata hili, ila mhimu itambulike kuwa hakuna Mtanzania ambaye atakubali katiba ya nchi iendee kuchezewa, kumbukeni kauli ya Nyerere aliwahi sema,'Ipo siku watu wakichoka watachagua kifo kuliko fedheha ndani ya taifa lao.
According to the Philosopher among of the ironhood is a porice, Wanaamini hawa watu wanatumia nguvu zaidi kuliko akili. Nchii hii inafuata mfumo wa vyama vingi rais atambue hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.