Hivi Maalim hamuonei aibu Lipumba?

Hivi Maalim hamuonei aibu Lipumba?

mzee lipumba kachanganyikiwa yule,wanaomtetea lipumba ni CCM na ndio maana alipelekwa na POLICCM mpaka buguruni
 

Attachments

  • 14449067_1778090459113491_9204006359358207261_n.jpg
    14449067_1778090459113491_9204006359358207261_n.jpg
    26.2 KB · Views: 32
Kama mbowe
Kamtosa dr mihogo kwa ajili ya pesa za mamvi
 
stroke tumia akili,cuf sio mali ya mtu binafc,ni taasiri,hvy km kuna mtu anatishia interests za taasisi hy ni lazima awajibishe kitaasisi,sasa maalim ht amuonee aibu chama c chake,maalim ni muungwana sn,ingelikuwa cuf ni mali ya maalim naamini wangemalizana kikubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom