Stress ni pale mgeni anapokutembelea mgeni geto alafu wakati huo ndani unaakiba ya miatano unaamua kuchukua chupa mbili za soda moja unanunua Cocacola dukani af nyingine ya sprite unaweka maji ili uje umpe company mgeni wako...Tatizo linakuja pale mgeni anapoikata koka uliomletea anaitaka Sprite...
Wadau nisaidie majibu tafadhari
1:Ni upi umri sahihi wa kutoka nyumbani kwa wazazi (Kwenda kujitegemea)...
2: Ni upi umri sahihi unaofaa na kupendeza ikiwa mtu anataka kufanya maamuzi ya KUOA mke.
3: Ni mwanamke wa aina gani anaefaa kuoa kwa mtu anaetafta maendeleo....
Msaada wenu tafadhari
Ni kweli inasaidia kupunguza hasira na kumtoa mtu kwenye mawazo nafikiri ni wakati muhim chama kuzindua lebo kijulikane ili vifaa na mbinu mpya vipatikane kirahisii
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo kazi inakuja kuwa ngumu usiku wakati wa kulala maana taswira ya matangazo yoote ya mchana inaanza kujirudia jamani jaman matangazo haya mtuhurumie muwe mnayafichaficha kidogo hali ya Magu haituruhusu kuoa jamani
Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
Ebu kwanza wajitaje wanaopiga ili tujue tunashauri wangapi make kuna watu coments zenu tunashindwa kufafanua kama mnapiga au la!.Andika ""Yes" au """No""
No sio ki ivyo sister me sijamng'ang'ania ila nilitaka ushauri nifanye nini nimeshamwambia tayari kuwa cmtaki tena ila ananisumbua sana nashindwa nimkwepe vipi af nikimuona namhurumia na pia sitaki ata jamaa zangu wajue make nilikuwa namsifia sana.
Ilikuw ni mapenz2 ukishampenda mtu ukamzoea huwa ndivyo ilivyo kumuacha nimemuacha ila sijui kwanini napomuona analia nnaumia af analia kweli adi nnajiuliza anataka kuniua au anataka nini zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.